NJOMBE

NJOMBE

Monday, January 30, 2012

Rais Kikwete katika mkutano wa Umoja wa Afrika Ethiopia

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na viongozi wenzie katika mkutano wa 18 wa Umoja wa Afrika jijini Addis Ababa Ethiopia jana Januari 29, 2012.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mkutano wa 18 wa Umoja wa Afrika jijini Addis Ababa Ethiopia jana Januari 29, 2012.
Viongozi wa Afrika wakiwa wamesimama wakati wimbo wa Umoja wa Afrika ukipigwa.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akijadiliana jambo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mh Bernrd Membe na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Zanzibar (Fedha na Uchumi), Dr Mwinyihaji Makame Mwadini katika mkutano wa 18 wa Umoja wa Afrika jijini Addis Ababa Ethiopia jana Januari 29, 2012.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Rais Paul Kagame wa Rwanda kabla ya kuanza rasmi kwa mkutano wa 18 wa Umoja wa Afrika jijini Addis Ababa Ethiopia jana Januari 29, 2012.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipanda mti kama kumbukumbu ya mkutano wa 18 wa Umoja wa Afrika jijini Addis Ababa Ethiopia jana Januari 29, 2012.

PICHA ZOTE NA IKULU

No comments:

Post a Comment