NJOMBE

NJOMBE

Wednesday, March 14, 2012

MWANAMKE ALIYEISHANGAZA AFRIKA, ANATAKA KUOLEWA NA MWANAE WA DAMU!


Mwanamke mmoja wa Zimbabwe Betty Mbereko (40) wa kabila la Masvingo ametangaza kuolewa na mtoto wake wa damu wa kiume mwenye umri wa miaka 23.
Betty amesema sasa hivi anaujauzito wa miezi sita, ujauzito ambao amepewa na huyo mtoto wake aliemzaa mwenyewe, ambapo amekataa kuolewa na wadogo zake marehemu mumewe kama mila inavyosema.
Mama huyu ameishangaza Afrika baada ya kukubali kwamba uhusiano huo wa kimapenzi na mwanae umeanza miaka mitatu iliyopita ambapo amesema ni vizuri aolewe na mwanae ili pia ale matunda ya pesa alizozitumia kumsomesha.
Kwa upande wake mtoto huyo Farai Mbereko (23) ameridhishwa na kuwa kwenye mapenzi na mama yake na kusisitiza kwamba anajipanga kwenda kumalizia mahari ya mama yake kwa babu zake, mahari ambayo baba yake hakuimalizia.
Mwenyekiti wa kijiji wanachoishi wawili hawa, amesema kama sio sheria wangewauwa hawa watu kwa kuwapiga mawe kwa sababu hicho kitendo ni cha laana na kitaleta laana kijijini ambapo hata hivyo wawili hao imebidi wahame kijijini hapo.

No comments:

Post a Comment