NJOMBE

NJOMBE

Saturday, March 10, 2012

Raha ya mapenzi


Aah! Mmh! Aluu! Je, mwili wako unahemuka na kunyevuanyevua? Vipi, uume wako umesimama? Unajisikia kama kuna majimaji katika sehemu zako za siri? ? Pata njia mbalimbali za kupata raha hiyo hapaUsichanganyikiwe, hizo ni dalili za mhemuko wa raha ya mapenzi. Hata hivyo haina maana kuwa lazima ufanye ngono. Furahia kubusu, kukumbatia na kupiga punyeto. Kama unaamua kufanya ngono, basi CHEZA SALAMA. Je, wajua kwamba Ngono Salama=Wasiwasi kidogo tu= Hivyo URODA ZAIDI.

No comments:

Post a Comment