NJOMBE

NJOMBE

Thursday, March 15, 2012

Je wajua faida ya Juice ya komamanga?


Inasemekana; Ukinywa juice ya tunda la komamanga (pomegranate) nusu lita  kila siku kwa muda wa mwezi mmoja, inasaidia kupunguza mafuta tumboni. 
Pia komamanga inasaidia kuzuia kansa ya matiti isitambae mwilini. 
  Wale wenye vitambi mpooo? na wale kina mama je? Naanzaje kua mteja no.1 wa haya matunda? xoxoxoxooo

No comments:

Post a Comment