NJOMBE

NJOMBE

Thursday, March 15, 2012

Breast firming machine; mtambo wa kuinua matiti

                                                  mambo hayoooo
                 kitu kikitoka hapo kishakua saa 6 chezea
hilo ndo jimashine lol
baada ya zoezi la kuongeza matako nchini tanzania kutawala na kuhusudiwa sana na wadada mbalimbali wa mujini  sasa  kuna mashine mpya zilizoingizwa na wachina za kusimamisha maziwa ya kina dada au kina mama.  zoezi hilo linafanyika katika saloon tofauti tofauti jijini dar-es-salaam na limetokea kupata wateja lukuki na kuonesha kulifurahia.. hahah milki iz standing ndo mpango mzima...kuwa  ndala inahuuuuuu????

No comments:

Post a Comment