NJOMBE

NJOMBE

Thursday, March 29, 2012

VODACOM FOUNDATION YAKINUFAISHA KIJIJI CHA INYUMBU MKOANI DODOMA KWA VISIMA



Mkuu wa Mfuko wa kusaidia Jamii wa Vodacom Tanzania(Vodacom Foundation) Yessaya Mwakifulefule (kwenye picha ya juu),akimsaidia kumweka ndoo kichwani  mama mmoja kati ya wakazi wa kijiji cha Inyumbu Mkoani Dodoma, baada ya kukabidhi msaada wa mradi wa maji wenye thamani ya shilingi milioni 40 katika kijiji hicho.

No comments:

Post a Comment