NJOMBE

NJOMBE

Sunday, August 19, 2012

Watu wa Assam India warudi kwao

Wanafunzi na wafanyakazi kutoka kaskazini-mashariki mwa India, ambao wakiishi miji ya kusini, wanaendelea kurudi nyumbani, ingawa wakuu wameomba watu wawe tulivu.
Wafanyakazi wanasubiri treni kuondoka Bangalore

Wengi walihama miji mikuu kutokana na maneno kwenye mitandao ya jamii, kwamba kutafanywa ghasia dhidi ya watu kutoka Assam na maeneo mengine ya kaskazini-mashariki mwa India, ili kulipiza kisasi kwa mapambano yanayoendelea baina ya makabila tofauti ya Assam.
Treni mbili zimefika Assam, zikibeba abiria kutoka mji wa Bangalore.

No comments:

Post a Comment