NJOMBE

NJOMBE

Sunday, September 9, 2012

Waziri wa Kenya auziwa gari lililoibiwa

Waziri mmoja wa Kenya amekanusha kuwa amehusika na wizi wa gari moja la rais ambalo amekutwa nalo.
Rais Daniel Arap Moi
Waziri wa Serikali za Mitaa, Fred Gumo, alisema gari lake alikuwa amempa mfanya biashara alioko Mombasa na badala yake akakabidhiwa hilo gari, ambalo lilikuwa limeibiwa kutoka kwa rais wa zamani, Daniel Arap Moi, miaka mine iliyopita.
Bwana Gumo alisema hakujua kuwa gari hilo lilikuwa la kuibiwa.
Alisema hakulitumia sana kwa sababu hakupata nyaraka zote za gari hilo.

No comments:

Post a Comment