NJOMBE

NJOMBE

Sunday, September 9, 2012

Wariri wa mambo ya Nje Mh.Bernard Membe ndani ya Mbamba Bey Mbinga

 Hivyo ndivyo anavyosema mwenyewe kupitia Tweeter Bado naendelea kuchati nae Nitakupa taarifa kulingana na sehemu alizopitia kutafuta ushahidi juu ya Ziwa Nyasa

Embedded image permalink
Mkutano wake  wa kwanza na Wazee wa Mbamba Bay unaofanyika pwani ya Ziwa Nyasa. Niko pamoja na Mbunge wa Mbinga na DC
Nimemaliza kuzungumza na Wazee wa Liuli, sasa naelekea Lituhi 

No comments:

Post a Comment