NJOMBE

NJOMBE

Saturday, August 18, 2012

AIBU: AGNESS MASOGANGE ATOA "VIDEO YA UTUPU"


Hawa ndio wanajiita vioo vya jamii hivi dada zetu mnafikiria nini 

BAADA ya kuandamwa na skendo kibao za kutoka na vigogo kisura wa video za wasanii wa bongo, Agnes Gerald maarufu kama Agnes Masogange, ameonekana kwenye mkanda wa picha ya ngono ambao umesambaa mtaani huku ikiwa dili kwa watu wanaotaka kuona umbo la mwanadada huyo.

Mkanda huo unaomuonesha mwanadada huyo akiwa mtupu, huku utata mkubwa ukizunguka kujua ni kitu gani kilichosababisha hadi kusambazwa kwa video hiyo.



  Mwandishi mmoja wa mtandao wa udaku hapa nchini
alifanikiwa kupata video hiyo ambayo mwanadada huyo ameonekana na kijana mmoja ambaye bado hajafahamika jina lake.

Baada ya kupatikana kwa video hiyo mtandao huo ulijaribu kumsaka Agnes ili kufafanua uwepo wake ndani ya video hiyo lakini hakuweza kupatikana kwenye simu yake.

                                                  HII NDIO VIDEO YAKE HIYO.

No comments:

Post a Comment