NJOMBE

NJOMBE

Wednesday, August 29, 2012

USHER THE DRAMA BOY


Three Kings/WENN.com
Hivi karibuni Usher alikua na migogoro na mpenzi wake wa zamani tameka foster waliojaaliwa kupata watoto wawili, migogoro huo ulikua nani akae na watoto? maana kila mmoja alitoa sababu ya kutaka kuishi na watoto. usher alidai kuwa tameka is uncapable of raising the kids while tameka alisema usher hutumia drugs  mbele za watoto na yupo busy sana with clubbin hivyo hatwaangalia watoto kwa makini. baada ya court kuangalia malalamishi ya pande zote mbele imekubali usher akae na watoto muda mrefu na watashinda kwa tameka for few hours

No comments:

Post a Comment