NJOMBE

NJOMBE

Saturday, August 25, 2012

Sierra Leone yabanwa na kipindupindu

Serikali ya Uingereza inatayarisha msaada wa dharura kwa ajili ya Sierra Leone, ambako kipindu-pindu kimeuwa watu zaidi ya 200.
Sierra Leone

Uingereza inataraji kuwapatia watu maji masafi na kujenga mitaro kwa watu kama milioni mbili.
Uingereza imeanza kusafirisha kwa ndege zana za matibabu na wafanyakazi hadi Sierra Leone.
Watu zaidi ya 12,000 wameambukizwa ugonjwa huo mwaka huu.

No comments:

Post a Comment