NJOMBE

NJOMBE

Sunday, April 1, 2012

WANANCHI WA ZILIZOKUWA KOTA ZA BANDARI GEREZANI WAMEVAMIWA NA KUBOMOLEWA NYUMBA ZAO KINYUME NA SHERIA MAHAKAMA YAUNGANA NA SERIKALI KUWAHUJUMU WANANCHI.


Wakili wa waliokuwa wenye nyumba zilizokua kota za Bandari na TRC, Dkt. Sengondo Mvuni akizungumza na wateja wake leo na kusema kuwa mahakama iliungana na Serikali kuwahujumu Wananchi hao kwa kuwa hakuna notice ya masaa sita tena kwa kutangaza katika kituo kimoja tu cha TV.
Mwenyekiti wa wakazi wa Kota za Bandari Bi.Fatma Msindi akizungumza kwenye mkutano huo leo.
Wananchi wakisikiliza mada zilizokuwa zikitolewa kuhusu kesi yao ya msingi leo.
Baadhi ya wakazi waliokuwa wakiishi katika kota za Bandari Gerezani wakisikiliza mada mbalimbali wakati wa mkutano wao leo.
Wakili wa waliokuwa wenye nyumba zilizokua kota za Bandari na TRC, Dkt. Sengondo Mvuni akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo kuhusu kufungua kesi mahakamani. (Picha na Rajab Mhamila)

No comments:

Post a Comment