NJOMBE

NJOMBE

Wednesday, April 11, 2012

Jamani Jamani, "Mafuriko Tena Dar"

Baada ya mvua kunyesha kwa wingu tena siku ya leo jijini Dar es salaam na maeneo mengine kama Morogoro.Imezuwa wawazo tena kwa watu wanaoishi maeneo ya mabondeni.Mvua hii imenyesha kwa takribani masaa matano mapaka hivi sasa ilipotuma habari hii basi mvua hiyo inaendelea.Mvua hii imeanza majira ya saa 12:00 mchana mapaka hivi sasa.Mbali na hilo jingine na hatari ya kuwa na Sunami kubwa katika nchi zote zilizokatika mwambao wa bahari ya hindi ikiwemo Tanzania na eneo kubwa linalo hofiwa ni Dar es salaam.





Mvua kubwa inanyesha na tayari maji yamejaa.Hapa ni Temeke hospitali na sijui ndugu zetu wa mabondeni hali itakuwaje.Mara mjadala utaanza tena wahame wasihame?
Picha na Mjengwa

No comments:

Post a Comment