NJOMBE

NJOMBE

Saturday, April 7, 2012

BREAKING NEWS: STEVEN KANUMBA AFARIKI DUNIA HATUNAE TENA DUNIANI

 


Msanii wa kuigiza Steven Kanumba afariki dunia usiku wa kuamkia leo.Maiti bado ipo muhimbili na kwa habari zilizotufikia hivi punde.Steven Kanumba alianguka ghafla usiku wa kuamkia leo na kukimbizwa hospital ya Muhimbili ambako mauti yalimkuta.Msiba utakuwa Sinza Vaticani wewe fika Vaticani Hotel basi utakuwa umefika msibani kwa habari nyingine zaidi basi endelea kuwa nasi.
Mwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe.Mungu ailaze roho ya Kanumba mahala pema peponi Amen.

No comments:

Post a Comment