NJOMBE

NJOMBE

Friday, January 25, 2013

Jaji wa mahakama kuu Kenya atekwa nyara [video]

nzioka1 150x150 Jaji wa mahakama kuu Kenya atekwa nyara [video]
Jaji wa mahakama kuu Grace Nzioki, anayeongoza jopo linalochunguza mauaji ya Tana Delta alitekwa nyara jana usiku na ripoti ya uchunguzi wake iliotarajiwa kutolewa hapo kesho kuibiwa.
Majambazi hao walimteka nyara jaji huyo nyumbani kwake na kisha kumpora vifaa kadhaa ikiwemo kipakatalishi, au ukipenda laptop iliokuwa na ripoti ya uchunguzi wa mauaji ya tana.


No comments:

Post a Comment