NJOMBE

NJOMBE

Monday, May 27, 2013

Taifa Stars ndani ya suti maalum kwao zilizobuniwa na designer Sheria Ngowi

kazi kwao sasa Stars
Wachezaji wakishangiliwa wakati wakionesha suti zao kwenye runway
Wachezaji wakishangiliwa wakati wakionesha suti zao kwenye runway
John Bocco na Erasto Nyoni. Hawa wanaonekana mambo ya fashion show zio zao na wameboreka... haha!










John Bocco na Erasto Nyoni. Hawa wanaonekana mambo ya fashion show zio zao na wameboreka… haha!

Wachezaji wa Taifa Stars na benchi la ufundi katika picha ya pamoja wakionesha suti zao.Wachezaji wa Taifa Stars na benchi la ufundi katika picha ya pamoja wakionesha suti zao.

Wachezaji wa Taifa Stars na benchi la ufundi katika picha ya pamoja wakionesha suti zao.Wachezaji wa Taifa Stars na benchi la ufundi katika picha ya pamoja wakionesha suti zao.
Wachezaji wa Taifa Stars wakionyesha suti zao mpya zilizobuniwa maalum kwa ajili yao na designer Sheria Ngowi, katika hafla ya Kilimanjaro Premium Lager kukabidhi suti hizo.

Sheria Ngowi, umetisha bro. Wamependeza kinoma. Keep up the good work

No comments:

Post a Comment