NJOMBE

NJOMBE

Tuesday, March 5, 2013

541938N0snQhfG[1]Mhadhiri wa chuo kikuu cha Dodoma (UDom,) Bernadeta Minja, amefariki dunia papo hapo na watu wengine 11 wamejeruhiwa katika ajali ya basi la kampuni ya Muhamed Trans likitokea Dar es salaam kwenda Dodoma baada ya kupata ajali katika eneo la Kiegea Gairo barabara ya Morogoro Dodoma . Chanzo cha ajali ni uzembe wa dereva wa basi wakati akijaribu kupita lori lililoharibika.

541448glERpca2[1]

No comments:

Post a Comment