NJOMBE

NJOMBE

Tuesday, March 5, 2013

Ronaldo kwa mara ya kwanza Tangu 2009 ndani ya Trafoo ya Zamani

   Mchezaji wa zamani wa Manchester United Christiano Ronaldo kwa mara ya kwanza anarudi kucheza nyumbani tangu aondoke mahali hapo 2009.Mchezaji huyo anafurahi kufika kwa mara nyingine Old Traford kwani amenukuliwa akisema anajisikia amani sana anapofika mahali kama hapo na kumkumbusha mengi katika historia yake ya mpira.Na vile mashabiki wanavyomkaribisha anajisikia vyema ndio anakasema Manchester ni nyumbani kwangu.
  Ronaldo anarudi kwa mara ya kwanza na timu yake Real Madrid inayochuana leo majira ya 10:45 PM saa tano kasorobo usiku katika mechi ya marudiano ya Mechi za mabingwa baada ya mechi ya kwanza timu hizo kutokuzidiana nguvu na kutoka sare ya 1-1 ndani ya Bernabeu 
 
Ukiwa kama mshabiki na mpenzi wa mpira na hasa kwa wale washabiki wa Manchester United Unakumbuka nini unapoona vidio hii na ukihusisha na Cr7 alivyosema.
                                                             Coming Home


No comments:

Post a Comment