Kitu kipya kinajitokeza katika
upembe mmoja ambao ni kame magharibi mwa Niger. Mmea wa ajabu wa
Moringa ndio umeanza kuwa kama silaha ya kupigana na njaa ambayo
hujitokeza katika nchi hiyo ya Magharibi mwa Afrika mara kwa mara
Wengi hawakujua kama mti huu ungewza kutumika kwa namna hiyo kama mboga na sasa akina mama hao wanataka kuhakikisha kuwa wanakabiliana vilivyo na uhaba wa chakula.
No comments:
Post a Comment