NJOMBE

NJOMBE

Tuesday, February 5, 2013

Tweet toka kwa Mh.Zitto Zuberi Kabwe

So I miss this whole session of parliament! My question to be asked by on new licenses to north Mara mine and Mkuju uranium
Mheshimiwa Zitto Kabwe mbunge wa Kigoma kaskazini anasikitika kukosa bunge la leo pale ukizingatia swali zuri toka kwa Mheshimiwa Tundu Lissu akiulizia juu ya vibali vipya ikiwemo mgodi North Mara na Mkuju Uranium

Na tweet toka kwa watu wakiendelea kutafuta ufafanuzi zaidi
  1. lukuvi na ndugai wanaboa sana
  2. Why are you missing the entire session??
  3. Kwanini unamiss? unahitajika sana bungeni kwani changamoto zako zinaifanya SERIKALI isijisahau
  4. Why you miss that session, So what are the feedback from Mh. Lissu

No comments:

Post a Comment