NJOMBE

NJOMBE

Monday, January 16, 2012

Regia alimkwepesha pacha wake na ajali

    
                                       Remija Mtema                                   Regia Mtema
PACHAwa Mbunge wa Viti Maalum Chadema, Regia Mtema (32) aliyefariki juzi kwa ajali ya gari eneo la Ruvu mkoani Pwani, Remija Mtema (32) ameeleza alivyonusurika baada ya kushuka kwenye gari muda mfupi kabla ya ajali.

Akizungumza na gazeti hili jana, Remija ambaye ni kurwa, alisema Regia kabla ya ajali iliyosababisha kifo chake, alikuwa akitoa kauli za kutia moyo na za kutarajia kuonana tena.

“Tulitoka nyumbani kwake Mbezi-Makabe, Dar es Salaam kwenye saa tatu asubuhi, mimi nilikuwa nakwenda Iringa na tuliondoka na gari lake hilo lililopata ajali nyumbani hapo, wakanishusha Mbezi stendi nisubiri basi la Iringa .

“Wakati tunatoka nyumbani alikuwa anaongea kwa uchangamfu sana, kwanza juzi (Ijumaa)
tulizungumza na kupanga kwamba mimi niende Iringa kuomba ruhusa kazini, maana kuna wakati nikiwa huru namsaidia kazi kama Katibu wake, tulipanga nikipewa ruhusa nirudi nimsaidie kwenye Kamati na Bungeni,” alisema Remija.

Kwa mujibu wa Remija, walikubaliana hivyo na baada ya kupanga mambo yao usiku huo wa
Ijumaa, walicheza sana karata.

“Ni karata za kuagana maana mimi ndio nilikuwa nasafiri kesho yake kwenda Iringa, asubuhi ndio tukaondoka huku tunacheka, mimi nikashukia Mbezi, alikuwa ni zaidi ya pacha wangu, alikuwa rafiki yangu,” alisema Remija.

Remija ambaye ni Ofisa Tarafa wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, alisema aliposhuka Mbezi
kusubiri gari, walikaa nae na watu wengine kwenye gari kwa karibu saa moja wakimsubiri mama yao, Bernadeta aliyekuwa akitokea Tabata-Chang’ombe nyumbani kwao.

“Mama alipofika aliingia garini na wakaondoka, pacha akasisitiza nikipata usafiri niwaambie, ni
kama alitamani niendelee nao lakini haikuwa hivyo, baada ya muda wa nusu saa mama alipiga simu kuniuliza kama nimepata basi maana waliona basi la Upendo limewapita, nikamjibu bado, baada ya muda mfupi nikapata basi la Budget,”

“Nilipoingia kwenye basi saa tano asubuhi hivi, nikamtumia ujumbe Regia kuwa nimepata basi, lakini ujumbe haukujibiwa, nikajua labda kwa kuwa alikuwa anaendesha gari, nikaendelea kusoma gazeti na tulipofika Ruvu niliona watu lakini sikutilia maanani nikaendelea kusoma gazeti,” alisema Remija.

Alisema kabla hajafika Chalinze, alipigiwa simu na mama yake kuwa wamepata ajali na
wapo Hospitali ya Tumbi na kumuomba dereva ashuke kwa kuwa ndugu zake wamepata ajali
Ruvu.

“Dereva na kondakta waliniuliza aina ya gari, nikawaambia wakathibitisha waliiona. akasimamisha gari nikashuka na kuanza safari ya kurudi hadi Hospitali ya Tumbi, nikakuta kweli Regia amefariki,” alisema Remija.

Alisema pacha wake alikuwa jasiri ambaye akiamua jambo lake ni lazima alifanye, alikuwa na huruma asiyependa mtu aonewe na alimuamini Mungu kwa kila jambo kutokana na malezi ya kiimani waliyopata kwa baba na mama yao mlezi.

Kwa mujibu wa Remija, yeye na pacha mwenzake walizaliwa Hospitali ya Ocean Road, jijini Dar
es Salaam Aprili 21 mwaka 1980, alikuwa mpenzi na shabiki wa timu ya mpira wa miguu ya Simba kwa hapa nchini na kwa nje alikuwa akipenda kufuatilia Barcelona ilipocheza zaidi ya timu nyingine.

Baba wa marehemu, Estelatus Mtema aliliambia gazeti hili jana kuwa anamshukuru Mungu kwa
kila jambo na kuomba majeruhi akiwemo mkewe waliolazwa hospitali ya Taifa ya Muhimbili walikohamishiwa wakitokea Tumbi juzi jioni, wapone mapema.

Utaratibu wa maziko

Mtema alisema misa itafanyika leo saa tisa alasiri katika Kanisa Katoliki la Segerea pamoja na heshima za mwisho na kesho kutakuwa na heshima za mwisho katika ukumbi wa Karimjee.

Alisema bada ya hapo safari ya kulekea Ifarakara itaanza na maziko yatakuwa Jumatano huko
Ifarakara mjini nyumbani kwa wazazi wa marehemu.

Majeruhi Muhimbili
Mtoto wa binamu wa mama wa marehemu, Theresia Simon, ambaye ilidaiwa kuwa amefariki
kutokana na kujeruhiwa vibaya kichwani, anaendelea vizuri alikolazwa wodi namba 10 Kibasila.

Theresia katika mahojiano, alisema anamshukuru Mungu hali yake inaendelea vizuri na maumivu yamepungua.

Baadhi ya vyombo vya habari jana, viliripoti kuwa Theresia aliyejeruhiwa kichwani, alikufa hivyo kufanya idadi ya walioaga dunia kuwa wawili akiwemo Mbunge Mtema.

Shangazi yake, Consolata Mwandenga alisema pia kuwa alimpa uji jana na kula vizuri asubuhi na mchana hivyo hali yake ni njema. Pia mama wa marehemu, Bernadeta na watu wengine
wawili, wanaendelea vizuri na wote wamelazwa katika wodi hiyo.

Vikao vya dharura Chadema
Wakati huo huo Sekretarieti ya Chadema jana ilifanya kikao cha dharura chini ya Uenyekiti wa Katibu Mkuu, Dk Willibrod Slaa kupanga utaratibu wa chama na viongozi wake wakuu, kushiriki kikamilifu kwenye maombolezo, heshima za mwisho na hatimaye maziko yaliyopangwa kufanyika Ifakara.

Shughuli hizo za mazishi ya heshima kwa Mbunge huyo, kwa mujibu wa taarifa za Chadema, zitaongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Freeman Mbowe.

Mbali na Sekretarieti, pia Kamati ya Uongozi ya Wabunge wa Chadema, ilifanya kikao cha
dharura, kwa kuzingatia uzito wa msiba uliotokea na kupitisha azimio kwamba wabunge wote wa Chadema washiriki kutoa heshima ya mwisho.

Kwa mujibu wa azimio hilo, wabunge wote wa chama hicho watasindikiza mwili wa Regia
hadi Ifakara na kushiriki maziko.

Kikwete kaungana na wananchi kuhani kwa akina Mtema

RAIS Jakaya Kikwete jana alikwenda nyumbani kwa familia ya marehemu Regia Mtema (32), Mbunge wa Viti Maalumu Chadema Tabata Chang’ombe jijini Dar es Salaam kuomboleza msiba wa Mbunge huyo.

Regia alifariki Jumamosi asubuhi katika eneo la Ruvu mkoani Pwani kwa ajali ya gari alilokuwa akiendesha akiwa na watu wengine saba akiwemo mama yake Bernadeta Mtema (45). Familia hiyo ilikuwa ikienda shambani Vigwaza.

Pamoja na Rais Kikwete pia, Waziri Mkuu Mizengo Pinda alifika nyumbani hapo kutoa pole kwa familia kwa msiba huo uliotokea kwa ajali ya gari katika eneo la Ruvu, mkoani Pwani.

Rais aliwasili nyumbani hapo kabla ya saa saba na baada ya kutoa pole kwa familia akiwemo
baba wa marehemu Estelatus Mtema, aliwapa pole baadhi ya viongozi wa Chadema waliokuwepo msibani hapo akiwemo Mwenyekiti, Freeman Mbowe.

Mara baada ya Rais Kikwete kuondoka, alifika Pinda nyumbani hapo ambapo aliwafariji
familia hiyo kwa msiba na baada ya kukaa kwa muda, naye aliondoka.

Akizungumzia msiba huo Spika wa Bunge, Anna Makinda alisema, “Nimepokea kwa huzuni msiba huu si kwa kuwa ni Mbunge bali kijana jasiri na mkakamavu, nimemfahamu Regia kabla hajawa Mbunge, wakati huo nikiwa Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake Wabunge, nilikuwa katika mikutano nahamasisha ile hamsini kwa hamsini bungeni.”

“Regia ni miongoni mwa vijana wa kike waliokuwa wabunge wakakamavu, nilimtia moyo na kumwambia natumaini kumuona bungeni na kweli alifanikiwa kuwa Mbunge, alikuwa makini katika kila alichoongea na alijituma, alijichanganya hata na Wabunge wa CCM, huu ni msiba wa Taifa,” alisema Makinda kwa huzuni.

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema) alisema mbali na kuonesha kukubalika na kupata kura kwa asilimia 45 katika Jimbo alikowania, ndiye aliyeibua wazo la viongozi wa Chadema kukutana na Rais Kikwete kuzungumza naye kuhusu Muswada wa Mabadiliko ya Katiba.

“Nitaweka kwenye mtandao hili, najua watu wengi hawajui lakini ndiye aliyeibua wazo kwenye mkutano wa chama kuwa viongozi wakutane na Rais kuhusu Muswada wa Katiba, nasikitika kwa kuwa kuelekea kwenye mchakato wenyewe, tunamkosa mtu muhimu kama huyu,” alisema Zitto.

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa alisema msiba huo si wa familia na chama pekee bali ni wa Taifa hasa wapiga kura wa Jimbo la Kilombero alikowania Ubunge na kupata kura 38,550 sawa na zaidi ya asilimia 45 ya kura zote.

“Regia alikuwa mcheshi na jasiri, haogopi kusema ukweli hata kama utakuumiza, tulimuhitaji sana hasa wakati huu wa mabadiliko ya Katiba ya kitaifa, hatuwezi kumuhoji Mungu lakini ni masikitiko makubwa,” alisema.

Wananchi waitaka ‘Katiba mpya rasilimali za nchi ziwe za serikali’

WANANCHI wa Mtama wilayani Lindi mkoani humo wametaka Katiba mpya kuwa na kipengele cha kuhakikisha rasilimali za nchi zinamilikiwa na Serikali, ili kuondoa ukoloni mambo leo uliopo sasa.

Mwalimu wa Shule ya Sekondari Namupa, Kaspal Mtotomwema, alisema hayo jana wakati
alipokuwa akizungumza kwenye mdahalo ulioandaliwa na Mtandao Lingonet.

Alisema ikiwa rasilimali zitamilikiwa na Serikali, itasaidia wananchi kumiliki ipasavyo rasilimali hizo kuliko ilivyo sasa ambapo watu wachache wanamiliki maeneo ya ardhi, migodi na kusababisha jamii kuwa watumwa ndani ya nchi yao.

Alitoa mfano kuwa hivi sasa kuna mfumo wa soko huria ambao wale wenye uwezo watakuwa
nanafasi nzuri ya kufanya kila kitu na jamii wenye kipato cha chini watabakia kunyonywa ndani ya nchi yao daima.

Mtotomwema alisema watu wachache wanamiliki migodi, ardhi na viwanda kutokana kufuatwa
mfumo huo ni hatari kiuchumi katika nchi.

Aliongeza nchi haiwezi kuwa na maendeleo ikiwa haina vyanzo vya mapato na kubakia kutegemea wahisani au kundi la matajiri wanaomiliki uchumi wa nchi.

Mkazi wa Kijiji cha Mtama, Dustan Millanzi alitaka Katiba liwe somo lianzie elimu ya msingi
na kuendelea.

Alisema yeye ana umri wa miaka 30, lakini katiba aliiona kwa macho jana na miaka yote hiyo 29 alikuwa haifahamu wala umuhimu wake, kwa biandamu.

Naye Mwanasheria Khalfan Omary aliwataka wananachi kuanza kujadili na kuilewa Katiba
na kuhakikisha wanatoa michango yao wakati Tume ya Kukusanya Maoni ikifika kwao.

Alisema Katiba ni muhimu kwa maisha ya Mtanzania kwa kuwa inamgusa kwenye vipengele
vya kiuchumi, utawala na siasa.

Katiba mpya si mwarobaini wa shida

KATIBAmpya ijayo haitakuwa muarobani wa kutibu shida zote za wananchi kama viongozi hawatakuwa waadilifu na wazalendo kwa taifa lao.

Kauli hiyo imetolewa juzi na Mbunge wa Kalambo Wilayani Sumbawanga, Josephat Kandege wakati akifungua mdahalo wa kuhamasisha wananchi kushiriki katika mchakato wa kupata Katiba mpya.

Mdahalo huo ulioandaliwa na muungano wa asasi zisizo za kiserikali mkoani Rukwa (Rango) na kufadhiliwa na The Foundation for Civil Society, ulifanyika katika Tarafa ya Matai wilayani humo.

Kandege aliwataka Watanzania wasitarajie kupata maendeleo endelevu kwa kupitia Katiba mpya iwapo viongozi hatakuwa waadifu na wananchi wasipokuwa wazalendo.

“Viongozi na wananchi kwa pamoja wanatakiwa kuwa waadilifu, wazalendo na watangulize maslahi ya taifa kwanza kama kweli wanataka kuona maendeleo ya kweli na ndipo hapo tutakapoona faida ya Katiba mpya tunayoisubiri kwa hamu,” alisema.

Aliwahimiza wananchi wa Kalambo kujitokeza kwa wingi mara baada ya tume ya kukusanya maoni ya Katiba mpya itakapoanza kufanya kazi, ili washiriki katika mchakato huo na kuacha kulalamika pasipo kuonyesha ushiriki wao.

Alisema kujitoa na kutoshiriki katika utoaji wa maoni, ni kujisaliti wenyewe kwa kuwa kutasababisha kuundwa kwa katiba isiyotatua kwa asilimia kubwa changamoto zilizopo kwenye maeneo yao.

Alilalamikia upotoshwaji unaofanywa na baadhi ya watu wakiwemo viongozi wa vyama vya siasa kuwa Katiba ya sasa haifai na kuwakumbusha kuwa katiba hiyo wanayoibeza, ndiyo chimbuko la kutukuka kwa nchi hii.

Alitaka midahalo kama hiyo ifanyike kwa wingi ili wananchi wajiandae ipasavyo kutoa maoni
yatakayosaidia kupata katiba itakayomjali kila mmoja na kumlinda.

Pia aliwataka wananchi kutambua kuwa majadiliano ya Katiba yanapaswa kulenga maslahi ya taifa na si chama chochote cha siasa.

Naye Katibu Mtendaji wa Rango, Stanley Mshana alisema upo umuhimu mkubwa kwa makundi mbalimbali wakiwemo wazee, walemavu, wanawake na vijana kushiriki kikamilifu
katika mchakacho wa kupata Katiba mpya.

Majambazi wajeruhi, waua yakipora fedha

MAJAMBAZI wanaosadikiwa kutoka nchi jirani ya Kenya wakiwa na silaha za moto na mapanga wamevamia Kijiji cha Sirari na kumuua mkazi wa kijiji hicho ambaye ni raia wa Kenya
aliyefahamika kwa jina la Babu Gimonge (25).

Mtu huyo alikufa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali pajani.

Aidha kundi lingine la watu wenye silaha lilivamia katika kijiji cha Kebeyo katika Tarafa ya Inchungu na kufyatua risasi ovyo kabla ya kuingia kwenye nyumba za Magabe Robhi Nyaibaru na Matiko Nyamhanga na kuwajeruhi kwa mapanga kabla ya kupora Sh milioni 2.5.

Wakisimulia matukio hayo Mwenyekiti wa Mji Mdogo wa Sirari, Nyangoko Paulo alisema tukio la kuvamiwa kwa Gimonge lilitokea saa 4 usiku Jumatano Januari 12, mwaka huu.

Akimzungumzia Gimonge Mwenyekiti huyo alisema nyumba yake ilikuwa umbali wa meta 400 kutoka mpaka wa Tanzania na barabara ya Isebania nchini Kenya.

Katika tukio la pili, Diwani wa Kata ya Mbogi Servester Nyankomo alisema tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia Ijumaa ambapo majambazi hao walifanya uhalifu huo kwa saa mbili katika kijiji hicho kwa kuvamia nyumba za Magabe Robhi Nyaibaru aliyeporwa Sh milioni 2 na
nyumba ya Matiko Nyamhanga aliyeporwa Sh laki tano na pia kuwajeruhi kwa mapanga.

Mkuu wa Polisi wa Kituo cha Sirari, James Manyama amethibitisha kutokea kwa matukio hayo na kusema Polisi inaendelea na msako wa watuhumiwa.

Amuua baba kwa jembe

WATU watano wamefariki dunia katika matukio tofauti mkoani Rukwa likiwemo la mtoto kumuua baba yake kwa kumkata na jembe kichwani.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Isuto Mantage alimtaja marehemu kuwa ni Gerald Kamilembe (40) mkazi wa kijiji cha Chonga wilayani Nkasi.

Alisema Januari 13 majira ya saa mbili usiku, Frank Kamilembe (18) anadaiwa kumuua baba yake huyo akiwa anaamulia ugomvi kati yake (Frank) na babu yake Sebastian Kamilembe (65).

Inadaiwa ugomvi huo ulitokea baada ya mtuhumiwa kumlazimisha babu yake huyo amgawie sehemu ya shamba kama urithi wake.

Katika hatua nyingine, mwanamke aitwaye Eliminata Tenganamba (32) mkazi wa kijiji
cha Sikitiko wilayani Mpanda ameuawa kwa kupigwa kwa rungu kichwani na mumewe aitwaye
Musa Moses (35).

Kwa mujibu wa Kamanda Mantage mauaji hayo yalitokea Januari 13 saa kumi jioni nyumbani kwa wanandoa hao baada ya kutokea ugomvi kati yao ambao chanzo chake bado hakijajulikana.

Kamanda Mantage alisema watuhumiwa wamekamatwa na wanatarajia kufikishwa mahakamani mara tu uchunguzi wa awali utakapokamilika.

Wajawazito Ileje wakwepa kujifungulia hospitali

WILAYA ya Ileje mkoani Mbeya imetajwa kuwa miongoni mwa wilaya nchini zinazotisha kwa wanawake wajawazito kutojifungulia hospitali na vituo vingine vya afya licha ya kuhudhuria kliniki katika kipindi chote cha ujauzito.

Hali hiyo imebainishwa na Meneja Uwezeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Dk. Mathias Sweya katika mkutano wa kupanua uelewa kwa viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje juu ya mradi wa kuwasaidia wanawake wajawazito wasio na uwezo kupata huduma za matibabu chini ya utaratibu wa NHIF na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF).

Dk. Sweya alitolea mfano kwa Kituo cha Afya cha Sange kilichopo wilayani hapa ambapo katika mwaka 2011 wanawake 137 walihudhuria kliniki kituoni hapo, lakini kati yao ni 34 pekee waliojifungua hapo.

Alisema uchunguzi unaonesha kuwa gharama za vifaa vinavyopaswa kununuliwa kwa mama mjamzito zinachangia kwa kiasi kikubwa wanawake kutojifungulia kituoni hapo.

Hata hivyo, mmoja wa maofisa maendeleo wilayani Ileje, Lucy Mwani akichangia hoja alisema yapo mambo mengi yanayopaswa kuchunguzwa ili kupata sababu ya wajawazito kutohudhuria kliniki ukiachilia mbali gharama akitaja baadhi kuwa ni pamoja na mila potofu.

Mwani alishauri kurejeshwa kwa Mpango wa Uhai, Ulinzi na Maendeleo ya Mama na Mtoto (CSPD) akisema uliwezesha kupatikana kwa taarifa za haraka juu ya mama mjamzito na mwenendo wa maisha yake tangu dalili za mimba hadi kujifungua pamoja na changamoto anazokumbana nazo.

Maji nayo kupanda

SIKU chache baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji ( E W U R A ) kukubaliana na
Tanesco na kutangaza ongezeko la bei ya umeme kwa asilimia 40.29, sasa ni zamu ya Kampuni ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco).

Habari za kuaminika kutoka ndani ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji zinasema gharama za maji zitapanda kunatokana na kupanda kwa gharama za umeme.

Mtendaji Mkuu wa Dawasco, Jackson Midala, ametangaza kusudio hilo la kupandishwa kwa gharama za huduma ya majisafi na majitaka.

Midala alisema hayo juzi akiwa Bomu wilayani Bagamoyo wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Maji, Gerson Lwenge, katika mtambo wa kusafisha na kusafirisha maji wa Ruvu Chini alipokuwa akijibu maswali ya waandishi wa habari juzi.

Midala alisema ongezeko hilo la bei litaongeza gharama za uzalishaji wa majisafi na majitaka
na hivyo kuifanya Dawasco ilazimike kuwapandishia bei ya huduma ya majisafi wateja wake.

Midala hakusema bei ya huduma hiyo itaongezeka kwa kiasi gani, kutokana na Dawasco na
mamlaka zingine za majisafi na majitaka nchini kutojipangia bei za huduma hiyo.

Aidha, Midala alieleza kuwa mwishoni mwa mwaka jana, Dawasco ilipendekeza bei mpya za huduma ya majisafi na kuwasilisha mapendekezo hayo Ewura. Hata hivyo Ewura hawakukubaliana na mapendekezo hayo.

Saturday, January 14, 2012

CARLOS TEVEZ READY TO INTER MILAN

Man City and Inter Milan to resume talks over Carlos Tevez

IN ASSOCIATION WITH
Page last updated at 15:19 GMT, Friday, 13 January 2012
Carlos Tevez Both Milan clubs are keen on signing Manchester City striker Tevez
Inter Milan are ready to reopen talks with Manchester City over Carlos Tevez after AC Milan pulled out of negotiations for the Argentine striker.
Inter president Massimo Moratti had expected the 27-year-old to join their rivals but will restart discussions after Sunday's Milan derby.
"There has certainly been contact [with City]," admitted Moratti.
Milan withdrew from talks on Thursday after their forward Alexandre Pato refused to join Paris St Germain.
City have been frustrated by the Italian champions' insistence on a loan deal with an option to buy.
Tevez's representatives have yet to hold discussions with Inter and no fee has been agreed.
The Argentine would seem to prefer a move to Milan and his advisors want to finalise a deal before the window closes.

TEVEZ SAGA TIMELINE

  • 27 September 2011 - City boss Roberto Mancini says that he wants Tevez "out of the club" after the striker allegedly refuses to play against Bayern Munich
  • 28 September 2011 - City suspend Tevez for two weeks
  • 25 October 2011 - Tevez found guilty of five breaches of contract and fined four weeks' wages - later reduced to two weeks' following intervention by the PFA
  • 8 November 2011 - Tevez accepts a misconduct charge
  • 9 November 2011 - Tevez misses training
  • 6 December 2011 - AC Milan make a formal offer for Tevez, which is rejected
  • 11 December 2011 - City insist reports PSG are to sign Tevez are untrue
  • 19 December 2011 - City confirm scheduled talks with AC Milan over Tevez
Moratti told the club's website: "We and City know all about Tevez's situation but we have decided to postpone talks until next week as right now my thoughts are on Sunday's game."
Fifth-placed Inter trail leaders AC Milan by eight points having had a poor start to the Serie A season.
City manager Roberto Mancini said on Tuesday he was confident Tevez would find a new club before the end of the January transfer window.
"I think maybe we can find a good solution in January, also because it is important for Carlos. Now it is three or four months that he hasn't played," he said.
"I know that there is Inter maybe that is interested because I read the newspapers, and [AC] Milan the same but I don't know the last news."
Tevez has not played for City since they beat Birmingham on 21 September.
Mancini alleged he refused to come off the substitutes' bench in September's Champions League defeat at Bayern Munich, while the player maintained there had been a misunderstanding.
An internal club investigation concluded that Tevez, who joined City in July 2009, was guilty of five breaches of his contract and he was fined four weeks' wages, reduced to two following intervention from the Professional Footballers' Association.

DOGO JANJA ANAMAMBO MAKUBWA


Rehema Fabian
Na Shakoor Jongo
MSHINDI wa shindano la kumsaka Balozi wa Kiswahili Bongo mwaka 2009, Rehema Fabian (pichani), anadaiwa kwenda Manzese, Dar anakoishi msanii Abdulaziz Abubakar Chende ‘Dogo Janja’ na kumtorosha, Risasi Jumamosi ndilo lenye picha nzima.
Akifunguka juzikati jijini Dar, mlezi wa Dogo Janja ambaye pia ni Rais wa Manzese na Kundi la Tip Top Connection, Hamad Ally ‘Madee’ alisema Rehema alifanya kosa hilo hivi karibuni na kwamba limemsikitisha sana.
Alisema siku ya tukio, alirudi nyumbani saa tisa usiku na kumkosa msanii huyo, alipouliza akajibiwa alifuatwa na demu mmoja ambaye mara nyingi huwa beneti na Tundaman (Rashid Ramadhan).
Madee alisema kuwa alipomuuliza Tundaman ni demu gani huwa naye beneti mara nyingi, alimjibu kuwa ni Rehema Fabian.
“Aliponiambia hivyo nilianza kuwasaka, nikasikia wapo viwanja, sijui wapi huko! Niliingia mtaani kuwatafuta lakini sikuwaona,” alisema Madee.
Aliongeza kuwa kibaya zaidi, yeye ndiye aliyekabidhiwa dogo huyo kutoka kwa wazazi wake, Arusha.
“Mimi ndiye niliyekabidhiwa Dogo Janja, nakaa naye, lolote litakalomtokea nitaulizwa mimi,” alisema.
Akaongeza: “Sasa kwa mfano katika safari yao wangepata ajali, nani angeulizwa? Halafu mlango waliuacha wazi. Kwa kweli siwezi kumvumilia, nitahakikisha namfunza adabu (Dogo Janja), nikishindwa namrudisha kwao Arusha.”
Kwa upande wake, Rehema alisema si kweli kuwa alimtorosha Dogo Janja, bali anachokumbuka  dogo huyo alimpigia simu akimtaka ampe ofa ya kwenda kumlipia kwenye ‘swimming pool’ ili aogelee.
“Lakini kwa vile nilikuwa bize sikumfuata, nashangaa kutuhumiwa eti nilikwenda kumtorosha,” alisema Rehema.
Akasema: “Unajua Dogo Janja ana mambo makubwa, inawezekana kuna mwanamke mwingine alikwenda kumtorosha alipobanwa akanitaja mimi. Mimi nikimtaka nitamuomba Madee lakini siwezi kumtorosha, labda kuna mengine yamejificha.”

MATITI YA LULU YAZUA BALAA CITY

Brighton Masalu na Erick Evarist
STAA kinda wa sinema Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ (pichani), hivi karibuni alikumbana na kasheshe kufuatia uvaaji wake ulioacha sehemu kubwa ya matiti ikiwa wazi, Risasi Jumamosi linashusha vesi.
Tukio hilo ambalo lililowatoa udenda wanaume wakware, lilichukua nafasi Januari 11, mwaka huu ndani ya mjengo wa Mlimani City, Ubungo Jijini Dar es Salaam huku msanii huyo akionekana kutojali hali hiyo, kitendo ambacho kilizidi kuwaduwaza watu wengi.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, baadhi ya wanaume wakware walionekana kusitisha shughuli zao na kumuangalia msanii huyo kwa macho ya uchu.
Kufuatia sehemu hiyo ya kifua kuwa ‘nje nje’ inasemekana wapo wanaume waliomvaa kwa maneno yenye kuashiria kumtaka kimapenzi huku wengine wakimkejeli.
Paparazi wetu alimuuliza Lulu kama kweli siku hiyo saa kumi jioni alikuwa Mlimani City ambapo alikiri.
Aidha, alipoulizwa kama kuna sakata lilitokea kufuatia kuvaa kivazi kilichoacha matiti wazi, alishikwa na kigugumizi.
“Aaa ni kweli nilikuwa Mlimani City kufanya ‘shopping’ f’lani hivi, lakini hilo la matiti yangu kuzua balaa… aaah siwezi kusema chochote...sijui,” alisema Lulu.
Waandishi wetu walipombana zaidi juu ya uvaaji huo, Lulu hakutaka mazungumzo mengi zaidi ya kusema yeye anaona sawa. sawa.

UWOYA NA NDOA YAKE ADAI AMEROGWA

Na Imelda Mtema
Beautiful mama wa Kiwanda cha Filamu Bongo, Irene Pancras Uwoya (pichani) amesema matatizo yaliyoikumba ndoa yake, yana mkono wa mtu.
Uwoya alimueleza ripota wetu mwanzoni mwa wiki hii kuwa anaamini kuna mtu amemroga ili amchukie mume wake, Hamad Ndikumana ‘Kataut’.
“Itakuwa nimerogwa, najishangaa sana. Kusema kweli nampenda sana mume wangu. Kinachotokea hata sijui ni kipi,” alisema Uwoya.
“Akiwa mbali namkumbuka, natamani awe karibu yangu. Akiwa karibu namchukia.”
Uwoya aliongeza: “Wewe unaonaje hali hiyo, siyo kurogwa? Kuna mtu ameniroga ili nikiwa karibu na mume wangu nimchukie, nisiwe na msisimko naye. Nimeambiwa anayenichezea ni msanii mwenzangu, tena naye ni maarufu Bongo, sijui kwa nini tunarogana?”
Kutokana na hali hiyo, Uwoya alisema kuwa ‘juju’ alilopigwa, litakwisha kwa maombi kwa vile amejipanga kumlilia Mungu.
“Naamini ndoa yangu itakuwa salama nikimshirikisha Mungu, nitaomba ili kama kuna mtu anaivuruga kwa nguvu za giza ashindwe,” alisema.
Mrembo huyo ambaye kwa sasa ni mama wa mtoto mmoja anayeitwa Krish, alisema Kataut ni mwanaume mzuri na anampenda sana ndiyo maana kila akikumbuka vitendo alivyomfanyia, anahisi kuumia.
“Ndoa yangu haitavunjika jumla, siwezi kuachana na mume wangu kwa sababu bado nampenda. Ninachotakiwa kufanya kwa sasa ni kumuomba Mungu ili kuyashinda majaribu ya Shetani yanayonikabili.
“Mungu atanisaidia kuondoa nguvu za giza zilizopo. Huyo aliyeniroga ili amani isiwepo kati yangu na mume wangu atashindwa na familia yangu itarudi kuwa imara,” alisema.
Wakati Uwoya anazungumzia maombi, ‘shosti’ wake, jina tunalo, alimueleza ripota wetu: “Irene (Uwoya) ameitwa Moshi. Anatakiwa akatakaswe na wazee kwa sababu mambo yanayotokea kwenye ndoa yake si ya kawaida.
“Tatizo lake la kumpenda mume wake akiwa mbali lakini wakiwa pamoja anamchukia, limeishangaza hata familia, kwa hiyo kuna mambo ya kimila anayotakiwa kufanyiwa.”
Uwoya ambaye ni Miss Tanzania namba tano mwaka 2006 na Kataut aliye mwanasoka wa kulipwa, raia wa Rwanda, walifunga ndoa ya kifahari jijini Dar es Salaam, Julai, 2009.
Pamoja na kuwepo kwa minong’ono kwamba Uwoya hakuwa mwaminifu kwenye ndoa yake, hususan pale mumewe alipokuwa kwenye majukumu yake ya kucheza soka nchini Cyprus, bado wanandoa hao walisisitiza kuwa wapo imara na wanapendana sana.
Mei, mwaka jana, Uwoya alijifungua na kwa kadiri mtoto anavyokua ndivyo na migogoro kwa wanandoa hao inavyoongezeka.
Hivi karibuni, yaliibuka madai kuwa hata mtoto huyo si wa Kataut, ingawa wanandoa hao wanasisitiza Krish alizaliwa kihalali ndani ya ndoa yao.
Tayari wawili hao, walishatangaza kuachana, ingawa Uwoya sasa ni kama amezinduka usingizini na kudai anampenda Kataut kuliko chochote na anaamini Mungu atainusuru ndoa yao kwa kumshinda Shetani anayewaroga.

Thursday, January 12, 2012

Dk. Mwakyembe mambo mazito



RIPOTI ya ugonjwa unaomsumbua Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harrison Mwakyembe, imeendelea kuivuruga serikali, safari hii Wizara ya Mambo ya Ndani ikisisitiza kuwa Wizara ya Afya ndiyo inayopaswa kuzungumzia suala hilo.
Kauli hii mpya toka Wizara ya Mambo ya Ndani imekuja ikiwa ni takriban wiki moja tangu gazeti hilt lilipomuuliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Blandina Nyoni, kuhusiana na ripoti hiyo na kusema kuwa suala hilo haliwahusu.
Uamuzi wa Tanzania Daima Jumatano kutaka kupata kauli toka Wizara ya Mambo ya Ndani ambayo kimantiki inashughulikia madai ya jinai ulikuja baada ya kile kinachodaiwa kuwa ripoti ya ugonjwa wa waziri huyo kutoka kwa madaktari bingwa wa hospitali maarufu ya Apollo nchini India ambayo hadi sasa imebaki kuwa siri, inadaiwa kueleza chanzo cha ugonjwa wa Dk. Mwakyembe kuwa umetokana na sumu kali aliyowekewa hapa nchini.
Gazeti hili jana lilimtafuta Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha, kutaka kupata kauli yake juu ya ripoti hiyo na tuhuma zinazotajwa ambapo alisema mwenye uwezo wa kuzungumzia juu ya ripoti hiyo ni Mkemia Mkuu wa Serikali toka Wizara ya Afya.
Alipoulizwa na gazeti hili anazungumziaje juu ya kile kinachodaiwa Dk. Mwakyembe kuwekewa sumu hapa nchini, Waziri Nahodha alijibu kwa sauti kali kidogo: “Aa..ah, sikiliza; wenye uwezo huo nimekwambia ni Wizara ya Afya, mimi kama Waziri wa Mambo ya Ndani kuzungumzia suala hilo ni mpaka niletewe taarifa kama mtu anatuhumiwa kwa sababu wizara yangu inashughulika na kesi za jinai.
“Sasa sijaletewa taarifa, mimi ripoti siijui, ripoti za afya za watu ziko Wizara ya Afya… hao si ndiyo wanawapeleka watu India?…Sijaletewa ripoti sijaiona na sidhani kama nitalewa,” alisema.
Alipoulizwa kwa nini anasema hadhani kama ataletewa ripoti hiyo je hakuna taarifa zinazodai kuwa ugonjwa unaomsumbua Dk. Mwakyembe unatokana na sumu? Bado aliendelea kusisitiza kuwa hajapokea taarifa zozote za mtu kutuhumiwa kumuwekea sumu Dk. Mwakyembe na kusisitiza kuwa kama gazeti hili linamfahamu mtuhumiwa huyo basi limtajie.
Hata hivyo ingawa taarifa rasmi ya serikali haijatolewa, ripoti ya ugonjwa wa waziri huyo kutoka kwa madaktari bingwa wa hospitali maarufu ya Apollo nchini India ambayo hadi sasa imebaki kuwa siri inadaiwa kupelekwa serikalini kupitia Wizara ya Afya.
Taarifa za Dk. Mwakyembe kuwekewa sumu, mara ya kwanza ziliibuliwa rasmi nchini na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, ambaye ni rafiki mkubwa na mshirika wa karibu wa Dk. Mwakyembe katika mapambano dhidi ya ufisadi nchini katika mahojiano na kituo cha televisheni cha ITV katika kipindi chake cha dakika 45 kilichorushwa mwaka jana.
Sitta alisikika akisema kuwa wasiwasi huo wa Dk. Mwakyembe kuwekewa sumu unatokana na mabadiliko ya ngozi na nywele alivyoondoka navyo nchini kwenda India.
Kwa Mujibu wa Sitta ambaye ni Mbunge wa Urambo Mashariki (CCM), alisema alipokwenda kumwona Dk. Mwakyembe nyumbani kwake, alipata mshtuko mkubwa kwani ilikuwa ni mara yake ya kwanza katika umri alionao kushuhudia ngozi ya mtu ikitoa unga.
Sitta alikaririwa akisema, “Kuna kitu kama mba kwenye nywele na kwenye ngozi ya Dk. Mwakyembe. Akishika hivi, baadhi ya nywele zinadondoka. Mkono umevimba, sehemu mbalimbali. Mke wake alichukua video. Alikuwa anatuonyesha kwenye laptop (kompyuta ndogo). Kwa kweli inatisha.”
Hata hivyo, Sitta alihojiwa na polisi kuhusiana na taarifa hiyo kwa madai kuwa ingeweza kuhatarisha amani, lakini alipotakiwa kutoa ushahidi anadaiwa kutoa ushahidi wa habari za kwenye mitandao ya kijamii.
Kabla ya Dk. Mwakyembe kwenda India kutibiwa, kulikuwa na uvumi kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa kiongozi huyo kulishwa sumu, ingawa yeye binafsi hajakanusha wala kuthibitisha habari hizo.
Katika mkutano wake wa kwanza na waandishi wa habari tangu aliporejea nchini, Dk. Mwakyembe alisema ripoti ya ugonjwa wake iko serikalini.
Hata hivyo, serikali hadi sasa imekataa kuitoa hadharani ripoti hiyo ya madaktari bingwa wa Hospitali ya Apollo, India, waliomtibu Dk. Mwakyembe.
Habari zaidi zinasema kuwa mwanasiasa huyo amepania kuianika ripoti hiyo hadharani kama serikali itaendelea kuifanya kuwa siri.
Mwakyembe alipelekwa India Oktoba 9 mwaka jana na kurejea nchini Desemba 11 mwaka jana hata hivyo licha ya kupata matibabu nchini India na kuendelea na tiba hiyo hapa nchini, hali yake bado siyo ya kuridhisha kwani amenyonyoka nywele, kope, nyuzi na hata vinyweleo vyote mwilini.

JK: Heart diseases cost nation heavily

                                                            President Jakaya Kikwete
President Jakaya Kikwete yesterday made an impassioned appeal to Tanzania’s development partners to help in the detection and treatment of heart-related diseases, which he said were costing the country’s economy heavily.

Opening an international cardiovascular diseases conference in Dar es Salaam, President Kikwete said many Tanzanians — men and women - were dying of heart-related diseases annually, a trend which required effective interventions and strategic support of development partners in order to reverse it.
“In fact, the number of deaths caused by cardiovascular complications is quite alarming, and our capacity to control this situation is very low,” the president said at the official opening of the first international conference on cardiovascular diseases, organised jointly by the Ministry of Health and Social Welfare and US-based international organization, dubbed “Madaktari Africa.”
“Across the East African region, cardiovascular-related deaths is on the increase due to many factors, including changing lifestyles,” he added.
With reference to Tanzania, Kikwete said the problem was compounded by critical shortage of appropriate diagnosis, equipment (and facilities), treatment and competent human resources.
“Because of these shortfalls, lives of millions are now at risk. We thank Madaktari Africa for their support, through this programme, in building human resource capacity of our health experts,” said President at the two-day training programme which drew participants from Africa countries and beyond.
He explained that the government of Tanzania was trying to address shortage of cardiology professionals by sending some of the heath experts for studies abroad. The strategy enables local health experts acquire required skills and knowledge for detection and treatment of cardiovascular cases.
In his remarks, Health and Social Welfare Minister, Dr Haji Mponda said Tanzania was leading in sending heart patients to India for treatment of cardiovascular related complications.


“These patients account for about 60 per cent of all patients referred outside the country for medical care,” he said.    

Latest government reports show that a lot of money is being spent to facilitate treatment of heart patients outside the country, thus holding back the country’s economic growth and development.
According to the Permanent Secretary in the Ministry of Health and Social Welfare, Blandina Nyoni, during the last financial year, the government spent about 9bn/- for treatment of heart patients abroad, particularly India.
“And during this financing year ending in July, my ministry is expecting to spend 13bn/-for financing treatment of heart patients outside the country. This is a huge burden to the country’s economy…,” said Nyoni in an exclusive interview on the sidelines of the meeting.
She described the on-going training programme, which is facilitated by cardiovascular specialists from different parts of the world, as a potent tool for building capacity of Tanzanian health experts in the detection and treatment of hearts-related complications.
Nyoni said the government was finalising construction of a complex for cardiac surgery, treatment and training at the Muhimbili National Hospital (MNH), which is expected to be officially inaugurated soon.
“We are now equipping the complex with proper, modern and standard facilities before the official opening…again, this is part of long-term measures undertaken by the government to build national capacity in taking care of cardiovascular cases, thereby saving billions used for treating these patients abroad,” she noted.
In April, 2009 Madaktari Afrika signed a Memorandum of Understanding with the Ministry of Health and Social Welfare to build local capacity in training, equipment, research, data analysis and publications of cases related to cardiovascular diseases, according to Dr Mponda.

Do you know why people get marriage?Do you think they know what is marriage?Get this before you get marriage.


The meaning of marriage differs from one person to another, and from one time to another. In ancient times, for example, a marriage meant a condition in which a woman was given to a man almost as property, and often as part of a political, social, or business arrangement of some sort. For much of human history, marriage has been a permanent institution that, once entered into, cannot be dissolved except by the death of one of the spouses. In the modern world, however, marriage is a vastly different thing. On the up side, marriage is today more of a gathering of equals, rather than the subjugation of one to the other. On the down side, marriage often becomes much more temporary than it has been in years past.
The meaning of marriage can be looked at from a legal perspective. Legally, marriage is a binding contract between the two parties that joins together their possessions, income, and lives. Marriage is recognized by the state, and the dissolving of the contract can only happen through the legal process of divorce.
But, for most people, marriage has meaning beyond the legal sense. Marriage is also an agreement between the man and woman. Husband and wife take certain vows, to love one another, to cherish one another, and to stay together through sickness and health, for better and for worse. In most cases, this agreement includes sexual faithfulness, and a promise that each person will do what they can to make the other one happy. For some people, this agreement between man and woman takes the form of a covenant between not only the couple, but God as well. Thus, many marriages are performed within the rites of various churches and religious institutions.
The meaning of marriage should be looked at from a sociological perspective as well. A marriage is the conduit by which children are born; a marriage provides both a mother and a father for the children. The family unit, the relationship between parents and child, are all based on the marriage relationship.
Certainly, in the modern world, the meaning of marriage is becoming more complicated. In some areas, same-sex couples are pursuing the right to be married. Certainly, a legal recognition of this does not create or eliminate the agreements that couples make between themselves, but these couples desire that legal recognition. In addition, high divorce rates mean that many children will not be raised in a traditional family unit. Here again, the fact that the parents are not married does not mean that they are not a family, but it is changing the way that families are arranged.
As it always has, the meaning of marriage is changing as the times change. As society changes, the institution of marriage changes. These changes may or may not be a good thing; in the end, they are probably a little of both. The meaning of marriage, in the modern world, is in a bit of flux; when people do get married, they should make sure that they agree up front on what they mean by marriage.


The dictionary defines marriage as “The legal union of a man and woman as husband and wife.” In the modern world, however, this definition of marriage is simplistic at best. The definition of marriage differs from one person to another, and from one time to another. In ancient times, for example, a marriage meant a condition in which a woman was given to a man almost as property, and often as part of a political, social, or business arrangement of some sort. For much of human history, marriage has been defined as a permanent institution that, once entered into, cannot be dissolved except by the death of one of the spouses. In the modern world, however, marriage is a vastly different thing. On the up side, marriage is today more of a gathering of equals, rather than the subjugation of one to the other. On the down side, marriage often becomes much more temporary than it has been in years past.
The definition of marriage can be looked at from a legal perspective. A legal dictionary defines marriage as “the state of being united to a person of the opposite sex as husband or wife in a legal, consensual, and contractual relationship recognized and sanctioned by and dissolvable only by law.” Legally, marriage is a binding contract between the two parties that joins together their possessions, income, and lives. Marriage is recognized by the state, and the dissolving of the contract can only happen through the legal process of divorce.
But, for most people, marriage has meaning beyond the legal sense. Marriage is also an agreement between the man and woman. Husband and wife take certain vows, to love one another, to cherish one another, and to stay together through sickness and health, for better and for worse. In most cases, this agreement includes sexual faithfulness, and a promise that each person will do what they can to make the other one happy. For some people, this agreement between man and woman takes the form of a covenant between not only the couple, but God as well. Thus, many marriages are performed within the rites of various churches and religious institutions.
The meaning of marriage should be looked at from a sociological perspective as well. A marriage is the conduit by which children are born; a marriage provides both a mother and a father for the children. The family unit, the relationship between parents and child, are all based on the marriage relationship.
Certainly, in the modern world, the meaning of marriage is becoming more complicated. In some areas, same-sex couples are pursuing the right to be married. One dictionary adds an additional definition of marriage: “A union between two persons having the customary but usually not the legal force of marriage: a same-sex marriage.” Certainly, a legal recognition of this does not create or eliminate the agreements that couples make between themselves, but these couples desire that legal recognition. In addition, high divorce rates mean that many children will not be raised in a traditional family unit. Here again, the fact that the parents are not married does not mean that they are not a family, but it is changing the way that families are arranged.
As it always has, the definition of marriage is changing as the times change. As society changes, the institution of marriage changes. These changes may or may not be a good thing; in the end, they are probably a little of both. The definition of marriage, in the modern world, is in a bit of flux; this flux reflects the changing times in which we live.
During courtship and the newlywed period, a couple will often feel like their marriage will never have any problems. They assume that they will always be as passionate as they are then; that they will have a strong marriage forever. However, as many married couples discover, having a strong marriage does take work. There are certain signs that are common among couples that have a strong marriage.
Communication is one of the most important ways to have a strong marriage. This is true in all of the areas of married life. A strong marriage is one in which the couple can communicate about every issue, including children, work, household management, and sex. Couples need to be able to discuss how they are feeling, both in terms of how they feel about one another but also in terms of how they are feeling about other things in life. This does not mean that the husband and wife always agree on every issue; but it does mean that each is willing to listen to the other, and to discuss their points of view.
A strong marriage is one in which the married couple spends time together. With the hectic schedule of the modern world, couples have to make time to just be alone together. This can be anything from the weekly scheduled date night to an hour or so spent together in the evening after the kids are in bed. On a regular basis, the couple in a strong marriage will do something together that they enjoy.
There are a variety of other general characteristics of a strong marriage. In a strong marriage, husband and wife are careful to avoid temptations of infidelity. In a strong marriage, couples respect one another. In a strong marriage, people are willing to admit they are wrong. People forgive one another in a strong marriage. In a strong marriage, the partners have respect for one another’s boundaries and privacy. In a strong marriage, couples are loving, avoid unnecessary criticism, and are generally polite to one another. In a strong marriage, the couple recognized that they are a team, and organize their lives as such.

Making a good marriage takes work. During courtship and the newlywed period, a couple will often feel like their marriage will never have any problems. They assume that they will always be as passionate as they are then; that they will have a good marriage forever. However, as many married couples discover, having a good marriage does take work.
There are a variety of other general characteristics of a good marriage. In a good marriage, husband and wife are careful to avoid temptations of infidelity. In a good marriage, couples respect one another. In a good marriage, people are willing to admit they are wrong. People forgive one another in a good marriage. In a good marriage, the partners have respect for one another’s boundaries and privacy. In a good marriage, couples are loving, avoid unnecessary criticism, and are generally polite to one another. In a good marriage, the couple recognized that they are a team, and organize their lives as such.
At the root of much of these ideas is communication. Communication is one of the most important ways to have a good marriage. This is true in all of the areas of married life. A good marriage is one in which the couple can communicate about every issue, including children, work, household management, and sex. Couples need to be able to discuss how they are feeling, both in terms of how they feel about one another but also in terms of how they are feeling about other things in life. This does not mean that the husband and wife always agree on every issue; but it does mean that each is willing to listen to the other, and to discuss their points of view. Good communication makes a good marriage.
A good marriage is also one in which the married couple spends time together. With the hectic schedule of the modern world, couples have to make time to just be alone together. This can be anything from the weekly scheduled date night to an hour or so spent together in the evening after the kids are in bed. On a regular basis, the couple in a good marriage will do something together that they enjoy.
Ultimately, a good marriage is built on a foundation of love; but the bricks-and-mortar that rest on that foundation, such as communication, respect, and spending time together, take some effort.


For many parents, children quickly become the first priority. These little ones who depend on us for everything from food to clothing to love can demand almost all of our energy and attention. Still, it is extremely important after having children to make sure that your marriage comes first.
If your marriage is not strong, your children will be able to feel it. If husband and wife are constantly arguing and bickering, and seldom or never affectionate, children will learn to behave this way when they grow up. Children have an amazing ability to sense when things are wrong. It is important that you demonstrate the ability to work through problems together to your parents. In addition, if you are not both on the same page as parents, your parenting can become contradictory and confusing for your children.
Putting your marriage first insures that your needs are being met. When you are on an airplane, the airline attendants always tell you to put the oxygen mask on yourself before putting it on your children, so that you are stable enough to help them. It is the same way with marriage. By keeping your marriage strong, you keep yourself strong and much better able to care for your children.
Fortunately, there are some things that you can do to insure you will have a strong marriage. Communication is one of the most important ways to have a strong marriage. This is true in all of the areas of married life. A strong marriage is one in which the couple can communicate about every issue, including children, work, household management, and sex. Couples need to be able to discuss how they are feeling, both in terms of how they feel about one another but also in terms of how they are feeling about other things in life. This does not mean that the husband and wife always agree on every issue; but it does mean that each is willing to listen to the other, and to discuss their points of view.
A strong marriage is one in which the married couple spends time together. With the hectic schedule of the modern world, couples have to make time to just be alone together. This can be anything from the weekly scheduled date night to an hour or so spent together in the evening after the kids are in bed. On a regular basis, the couple in a strong marriage will do something together that they enjoy.
There are a variety of other general characteristics of a strong marriage. In a strong marriage, husband and wife are careful to avoid temptations of infidelity. In a strong marriage, couples respect one another. In a strong marriage, people are willing to admit they are wrong. People forgive one another in a strong marriage. In a strong marriage, the partners have respect for one another’s boundaries and privacy. In a strong marriage, couples are loving, avoid unnecessary criticism, and are generally polite to one another. In a strong marriage, the couple recognized that they are a team, and organize their lives as such.
By putting your marriage first, you not only help yourself and your spouse, you help your children.
Marriage has been a permanent fixture in Western society for millennia. While the institution of marriage has changed throughout the years, still it is a constant presence in our world. Marriage has been important to society for a variety of reasons.
Many people believe that the so-called “nuclear family,” consisting of a father, a mother, and children, are the basic building blocks of society. It is in the family that children learn to become citizens; it is in the family that children learn about relationships; it is in the family that children learn about what is expected of them in society, how to act and how to be. Central to the nuclear family is the traditional idea of marriage, consisting of one man and one woman in a monogamous and permanent relationship.
No one in the modern age would suggest that a single-parent family is not a family. With a large number of people growing up in single-parent households, it would not be right, fair, or proper to suggest that a one-parent family cannot function and achieve the same things that a two-parent family can. However, studies do suggest that children who are raised with both a mother and a father do have certain circumstantial advantages over children raised in one-parent households.
In earlier times, marriage helped to stabilize the economics of a rural agricultural society. By having one man and one woman together with their children, a regular workforce for the farm was grown at home. In industrial society, this emphasis changed from children who contribute to the family economy to a view in which the family serves as the training ground and shelter for children, preparing them for life in the adult world.
In the modern world, marriage is no longer a situation of bondage or slavery for women, as it was in medieval times. Both men and women benefit financially as well as emotionally and spiritually from the arrangement of marriage. Some studies even suggest a link between better health and marriage. In addition, marriage is an important institution to many religions who, even though marriage is licensed by the state, nevertheless sanction marriages and perform marriage ceremonies.


Marriage is supposed to be forever. In the West in particular, marriage is seen as a permanent institution. Yet, as divorce statistics tell us, a great number of marriages wind up failing. How do you know when your marriage is failing? While circumstances will vary from one marriage to the next, there are some definite signs that a marriage is failing, or at least in serious danger.
Abuse can be an indication that lets you know when your marriage is failing. When one of the partners in a marriage, whether it is the husband or it is the wife, is physically or emotionally abusive, and unwilling or unable to get treatment for the abusive tendencies, divorce is often the only viable and logical option. A man or a woman who is in physical danger from their spouse should not stay with them. Even the most conservative of religions that look at divorce as being taboo tend to see divorce as a reasonable step in the case of physical abuse.
This also tends to be the case with infidelity. For some couples, infidelity can bring them to the point where their marriage is failing. The feelings of distrust and betrayal that comes when a wife or a husband cheats are too much to handle, and the offense often is too serious to forgive. On the other hand, many couples have weathered this sort of storm and, after a long time and a long, hard road to recovery, been able to stay together. In these instances, while the vow of fidelity has been broken, the vow to stay together for better and worse can sometimes still be kept.
A marriage can only stay together as long as both parties are willing to keep working on it. Before jumping into divorce, many couples choose other options, such as marriage counseling or a trial separation. These can also be logical steps that may help to keep a marriage together. Ultimately, however, if one or both of the married couple are unable to work at their relationship, the marriage is failing.
A failing marriage is not always a marriage that will end in divorce. If your marriage is failing, but you and your partner are both willing to try to work on your relationship, your marriage does not have to end in failure. It may be painful and it will almost always be difficult, but in the end it is often worth it.