Kwa habari za burudani na michezo makaliery-t ndio blog yako nitumie na kutoa taarifa kwa email makalimachechi@yahoo.com ipate tangazwa hata biashara pia
Mhadhiri wa chuo kikuu cha Dodoma (UDom,) Bernadeta Minja, amefariki
dunia papo hapo na watu wengine 11 wamejeruhiwa katika ajali ya basi la
kampuni ya Muhamed Trans likitokea Dar es salaam kwenda Dodoma baada ya
kupata ajali katika eneo la Kiegea Gairo barabara ya Morogoro Dodoma .
Chanzo cha ajali ni uzembe wa dereva wa basi wakati akijaribu kupita
lori lililoharibika.
No comments:
Post a Comment