NJOMBE

NJOMBE

Wednesday, July 31, 2013

Jifahamishe kuhusu Utalii katika Nchi yetu Tanzania

UTALII
Sekta ya utalii Tanzania ni miongoni mwa sekta zenye uwezo wa kukua sana kiuchumi. Inaleta fedha nyingi za kigeni na kuajiri watu 30,000, na inahamasisha sekta nyingine kama kilimo na hivyo kukuza uchumi. Mchango wake katika Pato la Taifa ni asilimia 14, ambayo ni sehemu ndogo ikilinganishwa na uwezo wa sekta hii.

Tanzania imebahatika vivutio vingi vya utalii. Tanzania inashinda nchi nyingi kwa kuwa na wanyamapori wengi na wa aina nyingi na mandhari za kuvutia, mazingira yasiyoharibiwa, watu wakarimu na sekta za kiuchumi zenye kuweza kuhimili sekta ya utalii, kama sekta ya madini na nyinginezo.

Vivutio vingi asilia na ukubwa wa nchi unatoa nafasi ya kuendeleza shughuli za utalii kama kutazama wanyama, safari na shughuli za ufukweni, upandaji milima, kuona manthari, uwindaji, na upigaji picha.

Lengo letu ni kuendeleza utalii endelevu na bora ambao unaendana na uhifadhi, utunzaji wa mazingira na utamaduni wetu. Kwa kufanya hivyo Tanzania itakuwa inapata faida halisi kutoka kwenye shughuli mbalimbali za utalii.

Tanzania ni mahali pa pekee katika Afrika, ambapo bado hapajagundulika na wengi. Ni nchi yenye maajabu ya mimea na viumbe visivyopatikana kwingine. Kilimanjaro ni mlima mrefu kuliko yote Afrika wenye theluji; visiwa vya maajabu vya Zanzibar; hifadhi za wanyama za Seregeti; ziwa Tanganyika; ziwa Manyara; kileta ya Ngorongoro; magofu ya karne ya 14 na 16 ya Kilwa Kisiwani; goji la Olduvai; nyayo za Laitoti; hifadhi za Baharini Kisiwa cha Mafia ni machache tu ya sehemu za kuvutia utalii. Mandhari na topografia ya nchi na watu wake wakarimu, wana uwezo mkubwa wa kukuza utalii na utamaduni, likizo za ufukweni, uwindaji, shughuli za akiolojia, na upigaji picha mzuri kulilo wote barani. Kwa habari zaidi ya vivutio vya utalii, tazama www.tanzania-web-com/home2.Htm

Sera ya Utalii

Sera ya Utalii ya Septemba 1999 ina malengo yafuatayo: 

  • Kuongeza uchumi na kuleta hali nzuri kwa wananchi kwa kupunguza umaskini, kwa kuendeleza utalii ulio endelevu na wa hali ya juu kiutamaduni, unaokubalika na watu, unaokubalika kiikolojia, wenye kuzingatia mazingira mazuri na unaolipa kiuchumi. 
  • Kutangaza Tanzania kama kituo muhimu cha utalii na nchi yenye utajiri wa utamaduni na fukwe nyingi. 
  • Kuongeza mchango wa sekta kutoka asilimia 16 hadi 25 na 30 ifikapo mwaka 2010. 
  • Kuweka msingi wa rasilimali ya utalii kwa kiwango cha kutosha kama sehemu ya rasilimali ya umma.
  • Kuboresha miundombinu ya utalii na kuiendeleza zaidi ili kupata pato kubwa kutoka kwenye sekta.
Mkakati wa kutekeleza Sera ni pamoja:
  • ¨ Kuboresha miundombinu kama vile barabara, usafiri wa anga nk.
  • ¨ Kuongeza huduma zaidi kama hoteli na migahawa.
  • ¨ Kuongeza ubora na ufanisi katika kutoa huduma
  • ¨ Kuchukua hatua za kuitangaza bayana tasnia na kuweka mipango ya masoko ya ndani na kimataifa.
  • ¨ Kuboresha maeneo ya utalii kwa kutunza uasilia wa mahali.
  • ¨ Kuimarisha taasisi mbalimbali zinazohusika na utalii na kuongeza uratibu wa huduma mbalimbali za kitalii
  • ¨ Kuchochea uwekezaji kutoka ndani na nje ya nchi wa miundombinu na huduma za utalii
  • ¨ Kuendeleza uwezo wa wafanyakazi kulingana na mahitaji ya utalii.
  • ¨ Serikali itahusika katika kuweka miundombinu ya msingi na mazingira yanayofaa kwa washika dau wakati sekta binafsi itaachiwa kuendeleza sekta ya utalii.
Tanzania iko kwenye mazingira ya ushindani katika utoaji wa bidhaa bora na huduma za utalii, dhidi ya idadi ya vituo vingine vya utalii na uchaguzi mkubwa walio nao watalii. Katika hali hii, sera imeweka wazi haja ya kuwa na sheria na taratibu zinazowezesha mazingira ya ushindani.


Washikadau wa Sekta ya Utalii:

Bodi ya Utalii Tanzania (TTB)
Bodi ya Utalii Tanzania inakuza maendeleo ya utalii.

Kazi zake

  • ¨ Kutangaza utalii ndani na nje ya nchi
  • ¨ Kufanya kampeni (matangazo, uhusiano wa umma.maonyesho) kwa lengo la kuvutia utalii.
  • ¨ Kutayarisha na kuchapisha vipeperushi na makala za kujitangaza
  • ¨ Kutoa habari za kitalii
  • ¨ Kutafiti na kuweka kumbukumbu za kisasa za utalii.

Elephant Carnage and Conservation

It would be an understatement to say that elephant poaching has dominated the African conservation news of late, at least in the United States. On September 3, The New York Times ran a lengthy feature by their East Africa correspondent, Jeffrey Gettleman, with the rather emotive headline ‘Elephants dying in epic frenzy as ivory fuels wars and profits.’  The article, based on field reporting by Gettleman in the Democratic Republic of Congo’s (DRC) Garamba National Park, describes the involvement of various military and paramilitary regimes in ivory poaching and trade in this conflict zone, including armies from DRC, Uganda, South Sudan, and the Lord’s Resistance Army, the notorious band of rebels-cum-marrauders led by Joseph Kony. Gettleman also added a new twist to recent ivory poaching coverage by relaying reports from the field that the Ugandan military, which receives considerable US government support, may have been responsible for a recent slaughter of elephants in Garamba. Earlier this week Yale e360 followed up the Times piece with an interview with Gettleman (‘Shining a bright light on Africa’s elephant slaughter’) that discusses his reporting from DRC and investigations into the linkages between regional militaries and ivory trade.
Soon after, National Geographic released its October issue, which features a piece by Brian Christy (‘Ivory worship’) focusing on the other side of the ivory trade and poaching crisis, namely surging demand from Asia. Christy’s article examines the role that religious carvings play in this growing Asian ivory market, using a colorful cast of players that includes Thai Buddhist ‘elephant monks’ and Philippino priests. The piece also provides a first-hand look at ivory manufacturing in China and devotes considerable space to a discussion of the impact of the ivory sales authorized by the Convention on International Trade in Endangered Species (CITES) in 1999 and 2008. The article’s main ultimate policy argument is that those sales have helped encourage new black market demand from China and other Asian countries- an argument that has been made frequently over the years in debates over the ivory trade- and is heavily critical of CITES as well as TRAFFIC, the international wildlife trade monitoring body whose research is a critical influence on CITES decisions.
These reports all highlight the basic reality that the illegal ivory trade, like the black market trade in rhino horn, has grown rapidly over the past several years. TRAFFIC issued a report in July that documents the increase in ivory seizures over the past several years, with over 24 tonnes seized in 2011, the highest level since the elephant was listed on Appendix 1 of CITES in 1989, which effectively banned the international ivory trade. While Christy’s Nat Geo piece documents some interesting micro-scale dimensions of this black market trade and the mechanics of smuggling ivory, the macro-level drivers are fairly intuitive: increasing wealth and consumption in China and other parts of Asia, as well as increasing trade links between China and Africa.
On the ‘supply’ side, Gettleman’s Yale e360 interview highlights the link between elephant poaching and the capacity, or lack thereof, of many African governments to police the ivory trade, or indeed to provide even the basic public services of order and security.  In discussing the role of the DRC army in elephant poaching, Gettleman highlights this link between state capacity and law enforcement:
…this taps into a bigger issue of state failure. The reason why the Congolese army is so undisciplined, and preys upon its own people and its own environment is because that state is incredibly weak. The central government in Congo barely controls that territory and in some areas it is totally irrelevant. Congo has had a legacy of decades of misrule, sometimes quite brutal. And we are seeing this now expressed against elephants.
Much of the publicity of the surging ivory trade includes the explicit or implicit suggestion that the slaughter of elephants has gotten as bad as it was during the 1970s and 1980s, when the overall continental population of elephants dropped by more than 50% from about 1.3 million to around half a million animals. During this time hard-hit countries such as Kenya lost most of their elephants, with numbers there dropping from over 200,000 to about 20,000; Tanzania’s population went from perhaps 180,000 to about 55,000 by 1989.
It is hard to find up-to-date analysis of elephant population trends and the impact that the current surge in poaching may be having on elephants; the African Elephant Database, maintained by the IUCN African Elephant Specialist Group, released its last compilation in 2007, although a note on the TRAFFIC web site says that a new continental synthesis will be released later this year. But bits and pieces of information suggest that the continent-wide situation is not quite as bleak as it was in the 1980s before the ivory ban, and a bit more complex in terms of regional trends.
Firstly, the largest population of elephants in Africa is now in Southern Africa, centered on northern Botswana, home to about 130,000 elephants, the largest single elephant range state population. The transboundary region of northern Botswana, western Zimbabwe (centered on Hwange National Park), Namibia’s Caprivi Strip, and southern Zambia, contains around 250,000 elephants, between half and a third of all the elephants in Africa. A main objective of the Kavango-Zambezi Transfrontier Conservation Area being developed across the borders of those four countries as well as neighboring Angola, is to expand the area available to elephants through improved local conservation measures in Zambia and Angola, lessening the pressure on what are considered excessive numbers of elephants in Botswana and Zimbabwe. A similar rationale is incorporated in the Greater Limpopo Transfrontier Conservation Area which aims to expand elephant range from South Africa’s Kruger National Park into neighboring Mozambique’s new Limpopo National Park. Elephant numbers in Kruger have been considered overabundant for decades, with frequent debates over the years about culling elephants in order to reduce their population within Kruger.
Southern Africa’s elephant populations have for the most part been increasing for decades, including during the 1970s and 1980s when elephant numbers were plummeting throughout the rest of their African range, and this growth continues today.  The reasons for these trends include a range of factors, primarily 1) the historic reduction in elephants and other large mammals south of the Zambezi River by white settlers and game hunters during earlier colonial periods; 2) relatively strong rule of law and highly capable wildlife management and law enforcement bodies throughout Southern Africa- for example, Botswana routinely receives the best scores on Transparency International’s annual corruption survey of any country in Africa; 3) sound wildlife policies that grant private landholders and local communities rights to utilize wildlife and control over revenues generated by wildlife on their land (see this edited volume for a useful regional overview); 4) high and growing levels of wildlife tourism, hunting, and related industries that generate revenues from wildlife across both government and local landholders, providing resources for management and law enforcement and incentives to invest in conservation.
Outside of Southern Africa, the largest regional concentration of elephants is in East Africa. Tanzania trails only Botswana in terms of its national population, having about 110,000 elephants. Kenya has an estimated 35,000. Both of these national populations have rebounded significantly since 1989, when Tanzania had about 55,000 elephants and Kenya an estimated 19,000 at that time. While the trends over the past two decades have constituted impressive recoveries, there has been a widely reported and documented surge in poaching, as well as trafficking of ivory through East African ports, in recent years. Yet a closer look at available data suggests that the current elephant population trends in East Africa are at least somewhat equivocal. In Kenya’s Tsavo National Park, the country’s largest single elephant population inhabiting the country’s largest state protected area, census results reported in 2011 estimated the elephant population at 12,572, up from 11,696 recorded in the previous census in 2008. While these figures may be subject to sampling or counting error and subject to debate, it seems unlikely that poaching levels in Kenya could be reverting to the out-of-control situation that prevailed in the ’70s and ’80s if elephant numbers in Tsavo are holding their own or increasing.
Tanzania has relatively clear and recent elephant population data and trends as summarized in the2010-2015 National Elephant Management Plan, published by the Tanzania Wildlife Research Institute with support from the Wildlife Conservation Society. This data reveals considerable localized variation in elephant population trends and status within Tanzania’s main elephant ranges. Two areas- Ugalla Game Reserve in the west and Selous Game Reserve in the south, the latter of which is the country’s largest protected area- have experienced significant declines in elephant numbers since 2006, particularly in the vast Selous where the population may have dropped from about 50,000 elephants in 2006 to about 39,000 three years later. Other large elephant populations in the southern and western part of the country, such as the Katavi and Ruaha-Rukwa ecosystems, do not demonstrate these large-scale declines, and in the northern part of the country, notably the Serengeti and Tarangire ecosystems, elephant numbers have continued to increase, a trend that goes back more than 20 years now.
Elephants in northern Tanzania's Tarangire National Park, where elephant numbers have rebounded since 1989.
Elephants in northern Tanzania's Tarangire National Park, where elephant numbers have rebounded since 1989.
The situation in Tanzania is clearly complex and, while the upsurge in poaching in certain areas since 2006 is certainly threatening both elephant populations and human security, the situation, as in Kenya, is not quite what the data records from the ’70s and ’80s. If one were to generalize, it seems that governance may be playing a key role in the levels of elephant poaching in Tanzania’s different wildlife areas.  National parks, which are managed by the parastatal Tanzania National Parks (TANAPA), which generally has a good reputation and has the advantage of considerable revenues generated by tourism magnets such as Mount Kilimanjaro and Serengeti National Park (Serengeti alone generates more than $25 million annually), generally seem to have elephant populations that are increasing or stable, according to the data reported in the National Elephant Management Plan. Game Reserves such as Ugalla and the Selous, by contrast, are managed by the Ministry of Natural Resource and Tourism’s Wildlife Division, which has long had a reputation for weak governance and corruption (for an overview see this publication), and it is these areas that seem to have lost large numbers of elephants to poaching in recent years. The Wildlife Division also lacks the resources that TANAPA has at its disposal; Game Reserves are used primarily for tourist hunting, which is a lucrative wildlife industry in Tanzania, but the Wildlife Division does not retain this revenue but rather remits it to the Treasury, and depends on the overall government budgetary process for its own operating revenues.
If governance differences between governmental authorities within Tanzania helps explain the variation in levels of poaching across different protected area management categories, then similar governance differences across the African continent seem key to the growing regional divergence in the status of  elephants in different areas.  The reality today is not that elephant populations are being slaughtered indiscriminately across all of Africa; this is clearly not occurring in Southern Africa and significant parts of East Africa. Where elephants are really getting hammered and may be facing localized or national depletion or extinction is across much of Central Africa as well as the Sahel and West Africa, where elephant populations are threatened by both habitat loss and poaching. As Jeffrey Gettleman’s reporting illustrates, the underlying problem for elephants in those areas is two-fold: First, governments’ law enforcement capacity in those regions is weak or, in extreme cases such as DRC, non-existent, while corruption is rampant. Second, outside of East and Southern Africa, where elephants are increasingly concentrated as they decline outside those regions, elephants do not generate significant revenues through tourism, which means there are few local or national economic incentives to protect elephants, and limited resources with which to do so.
Indeed, it would be a very interesting exercise to run a correlation between a) elephant population trends and levels of poaching at the landscape scale; and b) tourism revenues generated by those landscapes. It seems that where elephants are a part of a significant tourism industry and generate substantial revenue, and where government (or private or local community) protected area governance is relatively sound, elephants are at least withstanding the current poaching onslaught. Where neither of those two conditions exist, their prospects are increasingly bleak.

Tuesday, July 30, 2013

BINTI ALIYETOROKEA UINGEREZA KUKWEPA KUOLEWA NA MFALME MSWATI III...

KUSHOTO: Tintswalo Ngobeni. KATIKATI: Sherehe za kimila ambapo Mfalme huchagua mke kati ya wasichana hao. KULIA: Mflame Mswati III.

Msichana mdogo ameomba hifadhi ya ukimbizi nchini Uingereza baada ya kukataa kwa dharau harakati za ndoa za wake wengi za Mfalme Mswati III wa Swaziland na kugoma kujiunga kwenye nyumba harimu ya wake 13.

Tintswalo Ngobeni, mwenye umri wa miaka 22, alitimkia Uingereza kutoka taifa hilo la kusini mwa Afrika akiwa na umri wa chini ya miaka 18 baada ya kuvuta hisia za mfalme huyo milionea, mtawala maarufu mkandamizaji kwa maisha yake ya anasa.
Ikiwa ni sehemu ya mila za Swazi, Mfalme Mswati III, mwenye umri wa miaka 45, ameruhusiwa kuchagua mke mpya kila mwaka.

Tintswalo, ambaye sasa anaishi mjini Birmingham, alikuwa na umri wa miaka 15 tu wakati Mfalme huyo alipofanya harakati zake baada kumuona kwenye jumba la kifalme la mke wake wa nne, LaNgangaza. Binti huyo alisema 'alitishika' pale alipogundua dhamira zake za ndoa.

Aliongeza: "Alianza kunipigia simu kwenye shule ya bweni. Aliniuliza kama ningetaka kuwa sehemu ya familia ya kifalme. Ilinibidi kukaa kimya kuhusu mashaka yangu lakini nilifahamu sikutaka kuolewa naye na kujitolea maisha yangu kwa mfalme huyo.
"Wake zake wamewekwa kwenye majumba yao, wakizingirwa na walinzi, na hakika hawawezi kwenda kokote isipokuwa tu mfalme akisema hivyo. Kitu pekee wanachofanya ni kwenda Marekani mara moja kwa mwaka, wakati mfalme huyo anapowapatia posho kwa ajili ya manunuzi."

Tintswalo alikuwa amelazimishwa kuachana na maisha ya starehe kwenye shule moja ya bweni huku shangazi yake, ambaye alikuwa mlezi wake mkuu, akisuka mipango ya kutorokea Uingereza kuungana na mama yake, ambaye alihamia mjini Birmingham miaka mitano kabla, akimtoroka mume wake mnyanyasaji.

"Sikuwa na jinsi," alisema. "Hakuna aliyewahi kumwangusha mfalme huyo au kuthubutu kumdharau, hivyo nikatoweka tu."

Tangu kuwasili nchini Uingereza, Tintswalo amekuwa sauti ya upinzani dhidi ya utawala kandamizi za Swazi, ambapo vyama vya upinzani vya siasa vimefungiwa na wanaharakati wamekuwa wakikamatwa mara kwa mara au kushambuliwa.

Hatahivyo, shughuli kuu za Tintswalo, ikiwamo maandamano ya kila wiki nje ya ubalozi wa Swazi mjini London akiwa na kikundi cha Swazi Vigil, zimesikika kwa mamlaka hizo nchini kwake na sasa anaamini yuko kwenye hatari kubwa zaidi kuliko ilivyowahi kutokea.

Alisema: "Hivi karibuni nilipata taarifa kwamba watu wametumwa kutoka Swaziland kuja kunikamata, jambo ambalo hakika linanitisha mno. Kama nikirejea, nitakamatwa au mbaya zaidi huku pale kuna watu ambao wanateseka, kupigwa au kuuawa kwa kujihusisha na siasa."

Tintswalo sasa anaishi katika mashaka ya kuweza kurejea nchini Swaziland, baada ya ombi lake la kwanza la hifadhi ya kisiasa nchini Uingereza mwaka 2007 kukataliwa mwaka 2011.

Mwezi uliopita, alikamatwa na kupelekwa kwenye kituo cha kushikilia wahamiaji baada ya miezi 18 ya kuripoti kila wiki katika mamlaka hizo.
Hatahivyo, baada ya shinikizo kutoka TUC na ofisi ya Mbunge wa Birmingham kupitia chama cha Labour, Roger Godsiff, Tintswalo aliachiwa na sasa amekata rufaa wizara ya Mambo ya Ndani.

Godsiff alisema juzi: "Tumefurahishwa mno wanasheria walifanikiwa sana katika kuwezesha kutazamwa upya kwa kesi ya Ngobeni."

Baba huyo wa watoto 27, Mfalme Mswati III alikuwa mgeni kwenye harusi ya William na Kate na pia kwenye sherehe za Miaka 50 ya Malkia wakati wa majira ya joto mwaka jana.

Mke wa sita wa mfalme huyo alitoroka kutoka kwenye jumba hilo harimu mwaka jana, akielezea miaka kadhaa ya 'machungu na udhalilishaji wa kimwili' uliofanywa na mume wake.

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani alikataa kuzungumzia chochote.

Dawa na njia nzuri za Kupunguza unene

-kwanza kabisa penda kufanya mazoezi ya kutembea, uwe unatembea kama dakika 30 hivi kwa siku.

-Kunywa lita ya maji ya uvugu vugu kila siku asubuhi baada ya kuamka, maji hayo changanya na kipande cha limao. Kunywa maji kabla ya kula breakfast.

-Kama mnywaji wa pombe acha kunywa pombe. 

-Penda kula matunda na mboga za majani,punguza ulaji wa red meat (nyama kama za cow au mbuzi) penda kula lean meat. Kama mlaji wa kuku usile ngozi yake.

-Vinywaji vya sukari nyingi navyo ni vizuri kuepuka kama soda, kama huwezi unaweza kupunguza ktk unywaji wake.

Kama utafuata vizuri maelekezo hayo, I hope utapunguza uzito wako.

Chakula chako kisiwe na mafuta mengi.

Usinywe maji wakati wa chakula na pia baada ya chakula ila baada ya masaa mawili.

Chakula cha usiku kiwe mapema na kidogo sana.

Green tea pia inasaidia sana weka sukari kidogo sana kama unahitaji. Kunywa green tea mara tatu kwa siku yaani kila baada mlo. Kama unapenda mayai usile ini. Kula samaki, matunda, mboga mboga hizi zote kwa kiwango kidogo sio kingi.

Kula kiwango kidogo cha chakula atleast baada ya kila masaa matatu hii inasaidia sana mwili wako kuunguza calories zaidi.

Unapokaa muda mrefu bila kula kitu chochote mwili unakuwa unapunguza process ya kuunguza calories.

Mlo wako usizidi saizi ya ngumi yako unaweza kutumia kauli hio. Na kama ni kidogo sana ni vizuri kama nilivyosema hapo juu kula kila baada ya masaa mawili au matatu.

Saturday, July 20, 2013

Jim Carrey makes bizarre cameo on prep baseball team’s bus in rural Iowa

Of all the things the Pella (Ia.) High baseball team expected to find after their final loss of the 2013 season, Jim Carrey on their bus wasn’t one of them.
Jim Carrey mugs on the Pella baseball bus — TwitterJim Carrey mugs on the Pella baseball bus — Twitter
Incredibly, that’s precisely what they got after the famous actor bumped into the team at a local Burger King and hopped on board the team bus to take a candid photo and help cheer up Pella players following a dispiriting loss.
It’s uncertain precisely what Carrey was doing in rural Iowa, though the Des Moines Register surmised that he was probably there to study transcendental meditation at the Maharishi University of Management. The program has previously been attended by the likes of Oprah and Moby, so there’s every reason to believe that might have been Carrey’s motivation.
No matter what the actor learned about remaining centered at Mahirishi, that went out the window when he got a chance to clown around with a big captive group of teenagers. In a photo posted to Twitter, Carey quickly held up seven fingers next to a lone digit from a Pella player, commemorating Pella’s 7-1 loss to Fairfield (Ia.) High earlier in the day.
While everyone was surprised to see Carrey pop up on their doorsteps, no one was more stunned than Pella coach Jesse Jablonski, who had admonished his players from bothering Carrey when a few had noticed him in the back of the quick serve restaurant where the team was getting post game ice cream.
As it turns out, he didn’t have to warn them about giving Carrey extra space. Carrey didn’t want any. All he wanted was to make some kids reeling from an unfortunate loss a little bit happier.
"I kind of heard some whispers from a few of my guys in the background," Jablonski told the Register. "I didn’t really think it would be (Carrey) at first. What would he be doing in Fairfield, Iowa?
"Obviously, after [the photo] happened, the loss and the game were the last things on their minds."
Want more on the best stories in high school sports? Visit RivalsHigh or connect with Prep Rally on Facebook and follow us on Twitter.

Priorities: Crystal Palace

  • Palace have got lots of work to do if they want to turn a 5th place Championship finish in to Premier League survival. Where do they start?
    Palace have got lots of work to do if they want to turn a 5th place Championship finish in to Premier League survival. Where do they start?
Season Review
I think you can class promotion to the Premier League as a successful season. Dougie Freedman's Crystal Palace weren't really fancied for such success at the start of the 2012/13 campaign and had a bit of a rough start, but they soon hit their stride and were battling it out at the top of the table as Summer moved in to Autumn.
But just as things were looking up for the Eagles, disaster struck. With the club sitting in 4th place in October, Freedman made the shock decision to quit Selhurst Park to take the reins at 16th place Bolton, leaving Palace in limbo. The man to replace him was one who had seen it all before and Ian Holloway made a terrific start at his new club, bringing with him his brand of attacking (occasionally "gung-ho") style of football, aided by the exploits of Wilfried Zaha and Glenn Murray.
It was enough to take Palace (albeit briefly) to the top of the Championship, but as 2013 got going the wheels started to loosen. Injuries began to take their toll on a squad lacking depth, victories become draws, draws became defeats. Palace's home form remained hugely impressive, losing just twice and topping the home goal scoring charts across the whole league, but their away form dipped as they struggled for goals on the road. As a result the dream of automatic promotion faded, but the team secured a more-than-respectable 5th place finish (4 points above Freedman's Bolton in 7th) and a shot at the Play-Offs.
First up were much fancied arch-rivals Brighton, but after a disappointing 0-0 draw at home Holloway showed his tactical nous and organised Palace perfectly to take the away leg 0-2, with Zaha inspirational once again. Come the final at Wembley, their opponents Watford froze and the Eagles ran out deserved winners thanks to a Kevin Phillips penalty. Crystal Palace, a team who were almost in liquidation just three years ago, had secured their place in the Premier League for the first time since 2004/05.

Rio Ferdinand: Moyes was my choice to suceed Sir Alex Ferguson

    Rio Ferdinand: Moyes was my choice to suceed Sir Alex Ferguson
Manchester United defender Rio Ferdinand says David Moyes would have been his choice for manager – but does not believe he needs special treatment.

Moyes was appointed Sir Alex Ferguson’s successor and will take control of his first competitive game when the champions visit Swansea on the opening day of the Premier League season.

Whilst the decision to appoint the former Everton manager in the role was met with initial mixed reactions from fans, the former England international believes he is the right man for the job.

"We've got a manager who's very enthusiastic. He's young and has got the desire and appetite to be successful," he told the Sydney Daily Telegraph. "After the manager we had, that was very much needed and he's someone I would have chosen if I was in a position to.

"He's not someone who is looking to come in for three or four years - he'd love to replicate what the manager [Sir Alex] has done. There were people who'd have come into the job, who maybe wouldn't have wanted to be here for that amount of time. I'm sure the new manager sees this as a job for the long term."

The 34-year-old says the pressure of replacing Sir Alex is enormous but feels the Scot can cope with the demands of the job.

"You can't get away from the fact that the fans, and us as players, expect to win," said Ferdinand. "We've been used to it, so to say that the fans won't mind, that we should give the manager a bit of time to bed in, is lying.

"We want to win and I am sure he [Moyes] is the same. He doesn't want to come in and say 'give me a three-year bedding in time, I can just dilly-dally and be second or third."

Monday, July 15, 2013

WAJAWAZITO WATOZWA FAINI DOLA 5 KILA WANAPOPIGA KELELE ZA UCHUNGU HOSPITALINI...

Wodi ya wajawazito hospitalini hapo.
Wanawake masikini wamekuwa wakinyonywa katika wakati wao usio salama na hospitali moja ambayo huwatoza Dola za Marekani 5 kila wanapopiga kelele wakati wa kujifungua.

Uvumbuzi huo wa kushitusha ulifanywa na kundi la Wamarekani linalofanya kampeni dhidi ya rushwa, iliposambaza ripoti yake ya kila mwaka Global Corruption Barometer.
Katika hospitali hiyo nchini Zimbabwe, moja ya nchi masikini kabisa duniani, faini hiyo ilisemekana kutozwa kwa 'kupiga king'ora kimakosa', kwa mujibu wa Transparency International.
Wanawake ambao hawakuwa na uwezo wa kulipa faini hiyo walidaiwa kufungiwa hospitalini hapo hadi familia zao zitakapokuja kulipa. Riba pia huongezwa kwenye faini hizo, kwa mujibu wa ripoti hizo.
Akinamama wengi tayari wamekuwa wanakwepa kujifungulia hospitalini katika taifa hilo la Afrika sababu ya gharama hiyo ya Dola za Marekani 50, ambayo ni takribani theluthi moja ya wastani wa kipato cha Dola za Marekani 150.
Katika nchi ambako karibu asilimia 95 ya idadi ya watu wote hawana ajira baada ya miaka kadhaa ya mtikisiko wa uchumi na rushwa chini ya Rais Robert Mugabe, na mmoja kati ya wanawake wanane hufa wakati wa kujifungua kila siku, faini hizo zinapora mshahara wa mwanamke wa mwaka.
Utafiti wa Wazimbabwe umegundua asilimia 65 inaamini huduma za matibabu nchini humo zimetawaliwa na rushwa.
Pale Transparency International ilipowasiliana na Naibu Waziri Mkuu wa Zimbabwe, aliamuru uchunguzi ufanyike na tangu hapo hakuna ripoti zozote za faini zilizopatikana.
Hatahivyo, gharama ya Dola za Marekani 50 wakati wa kujifungua imeendelea kuwapo.
Kundi hilo la kampeni sasa limeandaa warsha kashaa nchini Zimbabwe kuinua uelewa kuhusu rushwa na kuonesha wananchi jinsi maofisa rekodi wanavyotaka hongo hivyo kuweza kutoa ushahidi mahakamani.
Faini wakati wa kujifungua zilianikwa wakati kundi hilo la kampeni lilipotoa ripoti ikionesha kwamba karibu robo ya watu wote duniani imetoa hongo katika mwaka uliopita.
Ugunduzi huo, uliolenga kwenye utafiti kwa watu 100,000 katika zaidi ya nchi 100, uligundua kwamba polisi na mifumo ya mahakama ilikuwa ikiongoza kwa rushwa, kwa mujibu wa ripoti.
Karibu theluthi ya watu ambao walishiriki kwenye utafiti walisema walitoa hongo kwa polisi.
Nchi ambayo kinara wa rushwa ilikuwa Sierra Leone, ambako asilimia 84 ya watu waliohojiwa waliripoti kutoa hongo.
Nafasi ya mwisho kwa rushwa ilishikwa kwa pamoja na nchi za Australia, Denmark, Finland na Japan.
Katika nchini ya Marekani, asilimia 7 ya wote waliohojiwa walidai kuwahonga polisi, iliripotiwa.

Sunday, July 14, 2013

BBA Evictions: Selly and Natasha given the boot!

NatSel_Lrg_74d1aab9-1a24-4e1d-bbad-f477f8add475_401314204027510After seven weeks of entertaining Africa and their fellow Chasemates with sexy dance moves, cleaning and brawls,Selly and Natasha’s luck has finally run out.
This stunning news seemed to take the Chasemates off guard. Why wouldn’t it considering that Natasha has been saved from the Eviction gallows many times by Africa’s vote.
The Malawian’s final Diary Session earlier this evening was more than cryptic. “Sometimes your luck runs out”, she said. And sadly, it has! All the pretty Malawian could do when she heard the news was to look on in bewilderment. Clearly her cleaning strategy, nor her fun Airtel Show could save her.
Selly on the other hand had to contend with the bewilderment of hearing Oneal had savedElikem and put her neck on the chopping block instead. Before she had even had a chance to process that information, IK called curtains on her Chase race.
This Eviction caps a difficult week in the game for the Ghanaian, who has had to navigate treacherous waters in both the Ruby and Diamond Houses, following a massive fight with former love interest, Sulu. Luckily the two buried the hatchet when Sulu told her “When other people saw rubbish, you looked at me and saw something precious”. Before the dust had settled following her swap to the Diamond House on Friday, Selly and former flame, Nando, had a brawl of epic proportions.
Nevertheless, after all is said and done, the two gorgeous divas have a lot to be proud of. Reaching and exceeding The Chase’s halfway mark is no ordinary feat

BAADA YA NANDO KUPATA GONJWA LA ZINAA, FEZA NAE AZUA LAKE BBA...

 #MAJANGAA

 
\
Huenda Jay (mtoto wa kiume wa Feza Kessy) anaweza kupata wadogo zake wa kucheza nao soon. Hiyo ni kutokana na mama yake anayeiwakilisha Tanzania mwaka huu kwenye shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’ kumwambia mchumba wake raia wa Botswana, Oneal kuwa angependa azae naye watoto.
 
Wapenzi hao waliopo Ruby House walikuwa wakiongea mipango kuhusu uhusiano wao kwenye chumba cha Rendezvous mjengoni humo.

“Please put a little thought into your answers,” anasikika Oneal akimwambia Feza.

“Natamani tungekuwa na mazungumzo haya bila kamera zozote zinazotuzunguka,” Feza alimjibu Oneal.

Lakini baadaye alimjibu, “Nataka furaha na wewe, future, nataka mahaba, nataka watoto, nataka maisha na wewe.” 

Hata hivyo Feza amekisema kitu kinachomkwaza toka kwa Mbotswana huyo anayefanya kazi ya UDJ nchini mwao kuwa wanapokorofishana yeye huondoka bila kuyamaliza japo amesema atajaribu kumwelewa.

“I know I am a complex man, I don’t even understand myself at times,” alikiri Oneal.

Thursday, July 11, 2013

SIO SIRI TENA...MTOTO WA WITNEY HOUSTON ACHUMBIWA NA KAKA YAKE

Bobbi Kris and Nick Gordon have been going through some ups and downs, but it looks as though they are still going strong. And she wants you to know two things: They are definitely engaged and Nick is not her brother.

Earlier today, Bobbi wrote in a lengthy Facebook post:



YES, we me nick are engaged. I’m tired of hearing people say “eww your engaged to your brother or if Whitney was still alive would we be together or would she approve of this.” Let me clear up something, we aren’t even real brother and sister nor is he my adoptive brother. My mom never adopted him. In fact, mommy was the one who even said that she knew that we were going to start dating. My mom knows me better than any of you. A lot of yall are saying that yall are only saying this all out of love. Which is bull because if that was so, all you would want is for me to be happy.



She added:
People need to seriously stop judging my relationship. Pretty sure it’s my own decision who I want to be with. Yes, my relationship may not be perfect. We will have rough patches, just like every other relationship. And we have had our rough patches. You may or may not agree with my relationship. You may or may not respect it. Judge me, go ahead. Your opinions are yours and mine are mine. It is my life and not yours. The decisions I make have nothing to do with you. Goodnight And there you have it.

DIAMOND AFUNGUKA KILICHOMFANYA AONJE 'URODA' KWA IRENE UWOYA...!!



SIRI nje! Lile skendo la Rais wa Wasafi Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, kudaiwa kulala na mwigizaji Irene Uwoya ambaye ni mke wa ndoa wa mwanasoka wa Rwanda, Hamad Ndikumana ‘Kataut’ limevuja.
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
KISA KAMILI
Huku akijua kabisa kuwa ataibua zogo kwa kuwa Uwoya ni mke wa ndoa wa mtu, kwa mara ya kwanza, Diamond ameamua kuanika kisa kilichomfanya kujiweka kwa muda kwa Uwoya.


Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika, kilichomfanya Diamond kufikia hatua ya kumtongoza na kutoka naye kimapenzi, ni kitendo cha Uwoya kutoa maneno ya kumponda huku akionesha waziwazi hali ya kumchukia kila walipokutana.


Irene Uwoya.


UWOYA ALIKUWA HAMPENDI DIAMOND
“Unajua Irene (Uwoya) alikuwa hampendi Diamond hata siku moja na mara nyingi alikuwa kila akimuona lazima amponde. Habari hizo zilikuwa zikimfikia mwanamuziki huyo kupitia mashoga wa mwigizaji huyo ambazo ndiyo zilichochea.


“Kufuatia hali hiyo, Diamond naye kila alipofikishiwa taarifa na mashosti wa Uwoya, alikuwa akijisikia vibaya mno ndiyo maana ‘Sukari ya Warembo’ alilazimika kumvizia Uwoya kwa hali na mali ili kumfanya ampende.
Uwoya na Diamond waliponaswa.
CHIKOKA ATAJWA
“Nakumbuka kwa mara ya kwanza Diamond alimtuma (Juma) Chikoka ‘Chopa’ kwa Uwoya ili amfikishie ujumbe wa yeye kumtaka.
“Chikoka hakufikisha taarifa hizo, kitendo ambacho kilimuuma sana lakini siku moja Diamond alikutana na Uwoya akiwa na Chikoka, maeneo ya Sinza-Mori (Dar), akamuomba tena Chikoka namba, akampa, hapo ndipo uhusiano ulipoanzia.


“Siku mbili baadaye Diamond alizungumza vizuri na Uwoya.


“Diamond aliomba ahadi ya kukutana na mwigizaji huyo, bila kuchelewa, Uwoya aliiva na kukubali ambapo walikutana kwenye ile hoteli mliyoandika kule Mbezi Beach (Dar) wakamalizana.
“Unajua Diamond alifanya hivyo kwa sababu ya kupondwa na washikaji zake kuwa anatamba kutembea na mastaa lakini hamuwezi Uwoya.


“Kwa hiyo utagundua chanzo cha yote ni mdomo wa Uwoya kutangaza kutompenda Diamond kwani alikuwa akimsema vibaya sana kwa watu wake wa karibu,” kilidai chanzo chetu.


DIAMOND
Baada ya kujazwa habari hizo, mwanahabari wetu alilazimika kumtafuta Diamond ili kuhakikisha kama alichoelezwa kina ukweli ndani yake ambapo bila kinyongo, mkali huyo wa wimbo wa Kesho alifunguka:


“Dah! Japo yalishapita ila ni kweli Uwoya nilikuwaga nikipata taarifa kutoka kwa marafiki zangu kuwa alikuwa ananichukia sana.


“Nilikuwa nikijiuliza sababu za yeye kunichukia lakini nikawa sizipati hata kidogo na hata nilipochunguza niligundua kweli alikuwa hanipendi kabisa.


“Sipendi sana kuzungumzia ishu hiyo ila naweza kukubali kweli kuwa marafiki zake na wangu ndiyo walionichochea sana kukutana na Uwoya na sasa hatuna tatizo na tunaishi kwa amani na upendo ingawa mengi yamepita na yaliyosemwa sina sababu ya kuyashikilia, kikubwa tumuombe Mungu.”




Ili kupata mzani wa habari hiyo, Tulimwendea hewani Uwoya lakini kama kawaida, simu yake ya kiganjani iliita bila kupokelewa.

Miezi kadhaa iliyopita, ripoti kuhusu habari ya Uwoya na Diamond kunaswa usiku katika moja ya vyumba vya hoteli maarufu kwenye Ufukwe wa Bahari ya Hindi huko Mbezi Beach, Dar ambapo habari hiyo iliibua maneno lakini sasa mwanamuziki huyo amemaliza utata kwani nguzo na sifa kuu ni kuandika ukweli siku zote