NJOMBE

NJOMBE

Friday, July 6, 2012

Swahili Kwenye simu Habari Teknolojia mpya kutumika katika Premier

 Teknolojia ya kuthibitisha kama mpira umevuka msitari na kuingia wavuni, inayofahamika kama 'Goal-line technology', huenda ikatumiwa katikati ya msimu wa ligi kuu ya Premier ya England, ya mwaka 2012 hadi 2013, baada ya utaalamu huo kuidhinishwa na halmashauri ya kimataifa ya mchezo wa kandanda, IFAB, Alhamisi, mjini Zurich.
Teknolojia mbili ziliidhinishwa, moja ikifahamika kama 'Hawk-Eye', yaani 'jicho la mwewe', na ya pili inafahamika kama 'GoalRef', ikimaanisha 'mwamuzi wa goli'.
Habari zaida katika Michezo

No comments:

Post a Comment