NJOMBE

NJOMBE

Tuesday, July 10, 2012

Nafasi za Masomo University of Oldenburg,Germany


 
Kwa wale wanaohitaji kujiunga na elimu ya juu nchini Ujerumani.
Kuanzia B.A,Bsc,M.A mpaka Phd Watanzania tumieni nafasi hizi,
chuo kinapokea wanafunzi hata kwa vijana wa Kitanzania wenye
kumaliza kidato cha sita wana nafasi ya kujiunga na chuo hiki,
maelezo zaidi,
Tafadhali wasiliana na anuani hii hapa chini:

International Student Office
Carl von Ossietzky Universität Oldenburg
Ammerländer Heerstr. 114-118,
26129 Oldenburg
Germany
Simu :+49-(0)441-798-2479
fax : +49(0)441 7982461
Pia fomu za maombi zinapatikana online katika link hii chini:

No comments:

Post a Comment