NJOMBE

NJOMBE

Saturday, July 21, 2012

Hivyi ndivyo mambo yalivyokuwa uwanja wa Taifa Simba vs TP Vita


 Mchezaji wa TP Vita Club ya DRC, akiwatoka Kigi Makasi na Kanu Mbiayavanga wa Simba
wakati wa mchezo wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki ya Kagame Cup, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo. Timu hizo zimetoka sare ya bao1-1

Mashabiki wa timu ya Simba wakifuatilia mchezo wa Klabu Bingwa ya Afrika ya Mashariki
na Kati, kati ya timu yao na TP Vita Club ya DRC, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam


Mashabiki wa Simba wakiwa wamesimama kwa dakika 1 kuwakumbuka wahanga wa ajali ya boti iliyotokea Zanzibar wiki hii

Kikosi cha Simba kilichoanza leo

Kikosi cha Vita

Sunzu akijaribu kumtoka beki wa Vita katika mechi ya leo - ambayo pia Sunzu alikosa penati.

No comments:

Post a Comment