NJOMBE

NJOMBE

Sunday, June 24, 2012

GARI LA BIA TBL LADONDOKA MJINI SUMBAWANGA WANANCHI WAKIMBILA GARI NAKULEWA CHAKARI!








imetokea jana jumamosi asubuhi majira ya saa tatu asubuhi baada ya gari ya kampuni ya Kanji Ladji inayobeba bia iliokuwa inatokea Mbeya kwenda Sumbawanga ikiwa imesheheni vinywaji kupata ajali na kuanguka majira ya saa tatu asubuhi.Sumbawanga ilikuwa kama sherehe kwa wengine kwani wanakijiji walivamia gari na wakaruhusiwa kunywa watakavyo ila hakuna kuondoka na chupa.....asubuhi watu walikuwa wamelewa chakari...Maisha bora kwa kila Mtanzania..

No comments:

Post a Comment