NJOMBE

NJOMBE

Sunday, June 17, 2012

AY NDANI YA BIG BROTHER LEO


Msanii wa music wa kizazi kipya unaojulikana sana hapa Bongo kama bongo flavar Ambwene Allen Yesaya maarufu kama AY.Leo siku ya jumapili atakuwa na shoo kali la kutisha katika jumba la Big Brother evision pale kati ni jamaa atatompwinyo.Msanii huyu hivi juzi ametoka kutambulisha ngoma yake mpya Inayokwenda kwa jina Part Zone.Cheki kwenye ukurasa wako wa Burudani unagumiana nayo.

No comments:

Post a Comment