NJOMBE

NJOMBE

Thursday, May 24, 2012

Nzi zaidi ya wawili wasipige kelele China

Serikali ya China imetangaza kuwa choo chochote cha umma hakitakiwi kuwa na nzi zaidi ya wawili wanaoruka kwa wakati wowote.
Hiyo ni moja kati ya mfululizo wa viwango vipya vilivyowekwa na mamlaka hiyo kujaribu kufanya bora maeneo ya umma mjini humo.
Malengo mengine yanahusu usafi, matumizi ya vifaa na mafunzo kwa watendaji.
Mwandishi wa BBC aliyeko Beijing anasema sheria hizo mpya zimelenga watu wanaoishi katika maeneo ya zamani ya mji huo.

No comments:

Post a Comment